Leave Jesus alone!

Leave Jesus alone!

Dah...Hivi bado kuna watu wanatafu kazi eeh!! Pole zao.
 
Ningewapata wote itakuwa vizuri...ila tarehe ya usahili kila mmoja na ya kwake halafu unafanyikia Zanzibarrrr

Mmmhhhh!!!ngoja nikuache haya watakutafuta,na mkeo atakuwepo wakati wa usahili??
 
Yaani kwa sababu wewe unautumia mwili Wako kupata utakayo, kila unaemuona kafanikiwa unahisi mwenzio? Kalaghabaho, jiamini. Woga Wako ndio umaskini wako

Kwann imekugusa?umewah nn?sijaona mantik ya kupanik aiseee
 
Unaomba kazi ukiwa na vyeti
vyote...umefaulu vizuri...Una-Qualify
kabisa kupata hiyo kazi....Baada ya
Interview Bosi mmoja anakufuata
anakwambia Kazi Uliyoomba
unaweza kuipata ila umechemka
maswali ya Usaili...Ukitaka
nikusaidie uipate tukutane
NAMNANI HOTEL ROOM 304 kesho
jioni..Ulivyo Bolizozo na Kichwa
Panzi Ukaenda ukachanua
ukamegwa...Ukasaini
mkataba...UnakujaFacebook na JF
unatuandikia,'YESU ASANTE WEWE
UNAISHI,MUNGU WA IBRAHIM ISAKA
NA YAKOBO,ASANTE MAANA WEWE NI
BWANA,UMENIPA KAZI..WEWE NI
EBENEZAUnamdanganya nani??Yesu
ndo alikushauri ukamegwe na bosi
upewe kazi???We andika tu
ukweli...KAZI DAR NGUMU SANA ILA
MWILI UNASAIDIA.Usitufanye sisi
watoto wadogo eboo!Degree
haijakupa kazi hapo huna tofauti na
changu wa Corner Bar.Shkamooni
Rasilimali-Kiuno wote...Leave Jesus
Alone.

Jamani turefresh mind zetu sio kila siku kulia lia tu tokomeza TEAMkuliakulia
Nimeicopy wajameni

nimeipenda sana Post yako. Tukutane namnani hotel room no 304 nikupe zawadi yako
 
Last edited by a moderator:
Hujuii eeee au ukishashiba unamsahau mwenye njaa!!!!!!!

Sija wahi na sina hiyo historia sio kama nimeshiba hapana me huwa naishi kwa plan B, kuwa na elimu kwangu sio kwamba ndio kila kitu au mtu ubweteke kwa kutegemea kuzunguka kutafuta kazi maofisini, elimu yenyewe ni mtaji tosha..!!!!
 
Mabosi wanazani kupewa ngono na wanafunzi kutoka vyuo wamepata, kumbe watoto wenyewe hiyo kitu sio issue ameanza kugawa kwa mwalimu wake wa primary, sekondari, chuo bila kusahau tuition, na leo eti mabosi wanashobokea kwake sio issue atawapanga tu hadi awe viti maalumu. Viongozi wajiheshimu performance yenyewe ndogo lakini hawaishi tamaa. Zinaa mwisho wake mbaya ukimwi na bdaye moto wa milele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom