Habari wanajamii.
Nasoma BA ya ECONOMICS nipo mwaka wa 3. Natakiwa fanya selection kat ya hizi
1.INDUSTRIAL ECONOMICS
2.AGRICULTURE
3.LABOUR
4.NATURAL RESOURCES
Hapo natakiwa chagua mbili. Zipi zaweza kuwa na uwanja mpana wa ajira?
Habari wanajamii..
Nipo mbele yenu naomba ushauri ili niweze kufanya selection iliyo sahihi. Nasoma BA ya ECONOMICS nipo mwaka wa 3, natakiwa fanya selection kati ya hizi
1.AGRICULTURE ECONOMICS
2.INDUSTRIAL ECONOMICS
3.LABOUR ECONOMICS
4.NATURAL RESOURCES ECONOMICS.
Ipi yaweza kuwa sahihi...
Habari zenu wana JF! Mi ni buheri wa afya! Nmesimama katika jukwaa hili kuweza kuleta mada ambayo ningependa ijadiliwe kiundani! MADA:Hivi unapoenda TANESCO na kutaka uwekewe huduma ya umeme nyumbani kwako na kuambiwa ununue nguzo hili swala linamaana gan? Na kama mwananchi anatakiwa anunue...
Ndugu zangu ni matumaini yangu kwamba mmeamka salama,nimesimama katika jukwaa hii kuweza kupata msaada juu ya mirathi ya BABA YANGU, BABA YANGU ALIKUWA POLISI PALE DAR-ES-SALAAM NA MWAKA 2005 ALIHAMISHIWA SUMBAWANGA NA 05/12/2005 NDIPO ALIFARIKI DUNIA,MAMA YANGU ALIENDA KUNGUA HIYO MIRATHI NA...
Jamani wana JF poleni kwa kazi ya kutafuta DINARI, Nipo janvini kuomba kusaidiwa swala hili hivi ukifuta text kwenye simu inaenda wapi? Naomba maelezo ya kina! Asanteni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.