Hivi fakat ya BACHELOR OF ARTS IN ECONOMICS ni MARKETABLE?

Itakuwa siyo makertable kutokana na ukilaza wako. Ukiwa na GPA nzuri na confidence kwenye interview huwezi kukosa kazi kwenye institution yoyote regardless umesoma nini.
Nakumbuka miaka ya nyuma nilishawahi kufanya bank, na tulikuwa tunaajiri watu mpaka wenye degree za kilimo!
Usimkatishe dogo tamaa, cha muhimu asome kwanza, hayo ya ajira yatakuja baadaye.

Pumba!, yaani nimwajiri economist wakati nahitaji engineer kwa vile interview amefanya vizuri?
Kunatakiwa kuwe na demand kwanza ndo watu waanze kuajiri, pia hiyo benki yenu ilikuwa bomu au kulikuwa hakuna watu ambao wako qualified kwa kazi inayotakiwa, sasa hivi wahitimu kibao wamejaa mtaani.
Huu ndo wakati sahihi wa kuuliza, mambo ya kupata Degree kisha kushitukia haina market sio akili.
 
Itakuwa siyo makertable kutokana na ukilaza wako. Ukiwa na GPA nzuri na confidence kwenye interview huwezi kukosa kazi kwenye institution yoyote regardless umesoma nini.
Nakumbuka miaka ya nyuma nilishawahi kufanya bank, na tulikuwa tunaajiri watu mpaka wenye degree za kilimo!
Usimkatishe dogo tamaa, cha muhimu asome kwanza, hayo ya ajira yatakuja baadaye.

ukiongelea swala la GPA tunarudi palepale sio kigezo timilifu kwa mtu kupata kazi,ila ni timilifu kama anataka kukaa mazingira ya wanafunzi(mwalimu),watu wamepata GPA za 2.8 na sasa wako katika nafasi nzuri makazini na wengine wapo mpaka katika ngazi za maamuzi,acha kukariri wewe sijui ni ofisi gani ilifanya mistake ya kukuajiri mtu kama wewe maana mawazo yako sio mtambuka kabisa,Unaweza ukapata GPA kubwa kwa njia nyingi ambazo sio halali na ndio maana wameweka usahili.
 
Pumba!, yaani nimwajiri economist wakati nahitaji engineer kwa vile interview amefanya vizuri?
Kunatakiwa kuwe na demand kwanza ndo watu waanze kuajiri, pia hiyo benki yenu ilikuwa bomu au kulikuwa hakuna watu ambao wako qualified kwa kazi inayotakiwa, sasa hivi wahitimu kibao wamejaa mtaani.
Huu ndo wakati sahihi wa kuuliza, mambo ya kupata Degree kisha kushitukia haina market sio akili.
Nimegundua kuwa u ar too young..bado kuna mambo mengi sana huyafahamu. Ukikua utayafahamu.
 
Jaman naomba kufahamishwa kwa undani kuhusu hiyo fakati,
1.ajira zake zinapatikana?(ikiwezekana na mifano)
2.inahusika na nini?(unaajiriwa kwenye secta gani? Ni hayo tu wadau.
Mkuu uko mbali,Fakati (siku hizi koleji kwa UDSM) ni pana na pamoja na mambo mengine ina offer hiyo BA Economics.So tofautisha kati ya fakati na shahada husika.
 
Maisha ni popote pale! Kuna watu wengi wamemaliza dregree kwenye nyanja tofauti na bado wako mtaani. Nenda kasome kwani kila kitu kwa sasa ni maketable kulingana na wewe mwenyewe utakavyokuwa! Jiajiri usisubiri kuajiriwa! Nilikuwa napita tu wana Jf!
 
yes ni marketable sana kuna kazi nyingi sana una kazi nyingi za kufanya kama kuwa mwanauchumi as lipumba mzee
 
Dah! Kiukwel nagain mengi kutoka kwenu, hapa sasa nagundua kwamba rafiki wa kweli ni yule aleye upande wako wakat wengne wapo kinyume nawe!! Thanks a lot kwa wote mlionishauri na mlioniponda pia kwani kuniponda kwenu kunanifanya nikomae zaidi!!
 
Dah! Kiukwel nagain mengi kutoka kwenu, hapa sasa nagundua kwamba rafiki wa kweli ni yule aleye upande wako wakat wengne wapo kinyume nawe!! Thanks a lot kwa wote mlionishauri na mlioniponda pia kwani kuniponda kwenu kunanifanya nikomae zaidi!!

we isome 2 cz ukimalza ukaona hupat ajira,bac utapga ishu za uticha mkuu.mia
 
Anyway pamoja na michango iliyokwishatoleawa, mimi ninavyojua Economics inakuwa na nguvu unapoifanya kama kiambatanishi. inakuondoa kwenye operation kwenda kwenye senior management. kwa mfano unakuwa na degree in - labda statisitcs, law, au B.Com, inapotokea kazi ya ' General' kwenye senior management, eg coordinator wa program fulani, ukiwa na kiambata cha something in economics, chance ya kupata na pia utendaji wako kazini unaimarika, kwanza inakujenga katika kutengeneza taarfia na taarifa nyingi zinataka zione kwenye mlengo wa scarce resources pia tunakwendaje. au sivyo jamani?
 
Jaman naomba kufahamishwa kwa undani kuhusu hiyo fakati,
1.ajira zake zinapatikana?(ikiwezekana na mifano)
2.inahusika na nini?(unaajiriwa kwenye secta gani? Ni hayo tu wadau.
mdogo wangu mimi nakushauli achana kabisa na hii kozi nina washikaji wangu kama nane walimaliza udsm 2005 kati ya hao sita ni walimu wa uchumi shule za sekondary.....mmoja nilimwalimu wa commerce shule ya makongo,mmoja anafundisha tution mapambano tution pale mwenge......mmoja tuu ndo ameajiliwa supermarket moja sinza kama cashier
 
dogo hatusomi faculty/kitivo, tunasoma degree program.eg BA economics.anyway inategemea wewe unamalengo gani kuhusu hiyo BA economics
 
Utasugua benchi hadi ushangae,ka vp kasome ile ya Sua,atleast ile naskia huwa wanaajirwa direct na crdb na nmb.
 
Tatizohamsomi i wakati kijana kozi yoyote iliyopo elimu ya juu ni nzuri ila ni whom you know si what you know sawa so jipange
 
usimuone mtu yuko bot ukaanza kumuogopa wengine ni volunteers pale,usifiki ajira siku hizi mpaka u-apply mdogo wangu,kuna style ya KAMLETE nadhani bado hayajakukuta.[/Q

Mimi nazungumzia walio kwenye ajira rasmi (Permanet and pensionable terms). By the way mimi nashughulika na masuala ya Utumishi na Utawala so usinifundishe habari ya volunteer au ajira, najua kuliko unavyojua wewe. Kwamba Mimi ni mdogo wako sijui unatumia vigezo gani? hamy
 
mdogo wangu mimi nakushauli achana kabisa na hii kozi nina washikaji wangu kama nane walimaliza udsm 2005 kati ya hao sita ni walimu wa uchumi shule za sekondary.....mmoja nilimwalimu wa commerce shule ya makongo,mmoja anafundisha tution mapambano tution pale mwenge......mmoja tuu ndo ameajiliwa supermarket moja sinza kama cashier
Hao jamaa zako wamezubaa sio siri. Ina maana hata GPA hazisomi basi vinginevyo wangeenda kuwa Walimu pale SAUT na kwingineko
 
Jamani hawa fm 6 leavers wa miaka hii wana akili kama "baba" yao vile, inakuaje mnamaliza fm 6 then hamjui hata tofauti ya faculty na degree?
 
Kuhusu ajira zake waulize wafuatao
  1. Jakaya Kikwete
  2. Zitto Kabwe
  3. Mwigulu Nchemba
  4. Ibrahim Lipumba
  5. Na mimi...njoo inbox
 
Elimu basically hulenga kutokomeza ujinga na si umaskini. Fani zote zilizothibitishwa ni matokeo ya utafiti katika utatuzi wa changamoto za maisha. Hivyo kila fani ina umuhimu katika jamii, aidha yakupasa kutia bidii kupata GPA za juu ili kumudu ushindani wa ajira kwani we shahidi kuwa wa first upper class degree wengi huwa tuitorial vyuoni.
 
Back
Top Bottom