Naunga mkono hoja, maisha ni pesa, na hata wote waliokua waneomba nafasi mbali mbali, msingi wao mkubwa ni kupata pesa kisha mengine yanafuata, yes wapeleke majina ili wawape ajira, kwa kufanya hili watakua wamewasaidia watu wengi ambao ni tegemezi kwao.
WAPELEKE WAKAPIGE PESA, ACHANA NA POROJO...