Recent content by MLINGANO

  1. M

    Global fighting against cyber attack 2017

    Udukuzi wa mifumo ya kompyuta na simu uliyotokea Jana. Jana usiku kumetokea udukuzi wa kimtandao takribani nchi zaidi ya 150 duniani kwa siku ya juzi tu. Nchi kubwa zenye wataalamu wa kutosha kama #GermanAsiachinarusiauingereza zimeathirika sana na Afrika. Ujangingili huu wa kimtandao...
  2. M

    Naombeni kujua, hapa Tanzania ISP yupi ni bora katika Huduma ya Internet services na Email!

    Jaman Naombeni kufahamu ISP gani Hapa Tanzania yupo vizuri kwenye huduma ya Internet services na Emails? Me binafsi Niliwatumia SimbaNet Siwaelewi vizuri Nataka kuwapiga chini na kutafuta wengine so nimekuja kwa wadau kuomba msaada!
  3. M

    Jimbo la Muheza bila CCM inawezekana

    Kaka Msigwa huyu si yule wa Iringa. Huyu Ni wa Muheza. Unashangaa majina kufanana?]
  4. M

    Jimbo la Muheza bila CCM inawezekana

    JIMBO LA MUHEZA. Kwanza ya yote napenda sana Kutoa poleza dhati kwa Wana_UKAWA wote na wapenda mabadiriko kuondokewa na mwenyekiti mwenza bwana #EMANUEL MAKAIDI M/mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina.Napenda pia kutoa Pongezi kwa Makamanda wote wanaoelimisha wananchi juu ya...
  5. M

    TTCL kunani jamani?

    Habari zenu ndugu zangu, nauliza mwenye taarifa yoyote kuhusu interview ya TTCL Iliofanyika TAASIS YA ELIMU YA WATU WAZIMA,Vip wameshatoa matokeo au kuna mtu yoyote amepigiwa simu? Naomba nifahamishwe jaman.
  6. M

    Nisaidie kutafsiri nini kijazwe kwenye form hii

    Mimi nataka kuomba nafasi ya data entry clerk iliyotangazwa na ubalozi wa marekani lakini kuna maswali yamenishinda jamani. Kama umebahatika kuiona ile form inayoitwa DS-174 ina maswali kama yafuatayo; 1.Provide the grade of the position Grade......... 2.Provide the Vacancy Announcement...
  7. M

    Hatimae uhamiaji yametimia

    Hallow Watanzania wenzangu, Naombeni msaada wenu kufahamu ukweli kuhusu walioitwa kwenye usaili wa idara ya uhamiaji kwa nafasi za konstebo na koplo wa uhamiaji. Sijui kama majina yale ni ya kweli. Kwanza napenda tu nieleze wasiwasi wangu kuhusu yale majina, baada ya kuyaona kwenye blogs flani...
  8. M

    Msaada kwa aliyewahi fanya interview ya Social Welfare

    HApana mkuu,interviw ya kwanza ni written so na wale jamaa huwa wanarudia maswal ya nyuma ndo maana naomba km unafahmu lolote
  9. M

    Msaada kwa aliyewahi fanya interview ya Social Welfare

    Mimi ni miongoni mwa waliobahatika kuitwa kwenye interview na Ofisi za sekretariet ya ajira katika fani ya Social Welfare itakayofanyika Mwalimu Nyerere Memorial Academy-Kivukoni. Naomba msaada kwenu kwa yoyote anayejua au aliyewahi kufanya interview ya social welfare, huwa wanauliza nini au...
  10. M

    Mwenye taarifa kuhusu Chinese scholarship

    Helo,natumaini wote wazima na buheri wa afya. Naombeni msaada kama kuna mtu yoyote ana links za scholarship za china mwaka huu kama zimetoka. Nawatakia kazi njema na mafanikio mema.
  11. M

    Mbunge Hamis Kigwangalla hatarini kuvuliwa uanachama CCM

    Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangalla ,ni kiongozi mchapakazi sana kuanzia jimboni mwake na anahisimamia vizuri serkalini pale inapokesea lakin kwa hili linaloendelea katika Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Nzega mkoani Tabora tayari kumemjadili Dk Kigwangalla katika vikao...
  12. M

    Jaman naombeni msaada juu ya kuitwa kwenye interview

    poa ndugu yangu,nitafurahi sana ukinipa msaada..
  13. M

    Jaman naombeni msaada juu ya kuitwa kwenye interview

    Adexec Oil & Gas Company P.O.Box 234 Newala, Mtwara 10th January, 2014. GreetingsRe: ........ Vacancy Thank you for your application for the above position. I would be grateful if you could attend an interview & training: At Adexec Oil & Gas Office, Near District Council Newala, Mtwara On th...
Back
Top Bottom