Mimi ni miongoni mwa waliobahatika kuitwa kwenye interview na Ofisi za sekretariet ya ajira katika fani ya Social Welfare itakayofanyika Mwalimu Nyerere Memorial Academy-Kivukoni.
Naomba msaada kwenu kwa yoyote anayejua au aliyewahi kufanya interview ya social welfare, huwa wanauliza nini au mtu yoyote mwenye sample ya maswali please.
Kila la kheri na jion njema.
Naomba msaada kwenu kwa yoyote anayejua au aliyewahi kufanya interview ya social welfare, huwa wanauliza nini au mtu yoyote mwenye sample ya maswali please.
Kila la kheri na jion njema.