Suala ni kuzuia magonjwa, sio kutibu tuuu. Mnataka daktari kila kijiji, nani kasema watanzania wote wagonjwa? Hili suala ni la mkakati. Nchi za wenzetu, jiji lenye wakazi milioni sita, hospitali ni moja, na wanaona wagonjwa wasiozidi 200 kwa mwezi. Unahitaji madaktari wangapi hapa? Tunainvest...