IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
"Yani mie sahz nataka pesa tu,aniboreshee maslahi yangu,wagonjwa wakilala 60 kitanda kimoja shauri yao,na kama vifaa havipo cjigusi,hata mtindo wa kuazma bp machne wodi ya jirani naacha,yani ntatoa huduma kulingana na vitu vilivyopo mahali nilipo,hata kumconsult chf kwa kutumia vocha zangu mwisho,kumchangia mgonjwa pesa akanunue dawa ndo mwisho,yani mtanisamehe "wana ethics",kwa sasa ndipo nilipofikia,simgusi mgonjwa wa hep. B hadi nilipiwe chanjo,na leo tu m1 kafariki wodn,SIJITOI KWA AJILI YA WANANCHI TENA,hawana shukrani,hawapo tayari kujitetea,NIMECHOKA!!!"
"BeTa hata cjamckiliza...cuz naic nshakerek wt his pseudo-promise"
"eti amegawa chandarua kila kitanda.. ndo cha kujivuna?"
"Kudadadekiii bora ule mstari wa mbayuwayu kuliko hay matakataka yanayosemwa leo,kwanini haya madudu hakuyasema ijumaa walahi hadi mochwari na dispensary zingegoma kaaahhh........"
"najickia kama nimejinyea kwa jinc anavyoongea"
"Mh Rais hajataja KABISA suala la KUBORESHA sekta ya afya. Hatak watu wajue kwamba tuligoma ili wakija hospt wapate huduma bora, wapate dawa, wasilale wawili watatu kwa kitanda nk..
"Anataka watu watuoneje? Anajenga hisia gani kwa waTz?"
" Bora nyie wenye moyo wa kumsikiliza,mie keshaniboa zamaniii"
"Ngoja nimalizie haka ka proposal kangu... labda katantoa. Wakati huo huo...niendelee kuhangaikia kilimo kwanza. !"
"If this is what his speech is all about, i dnt knw what i feel... Bt its real back to square one!!!"
"Baada ya kusoma hii, nimeamua kufanya jambo!
"BeTa hata cjamckiliza...cuz naic nshakerek wt his pseudo-promise"
"eti amegawa chandarua kila kitanda.. ndo cha kujivuna?"
"Kudadadekiii bora ule mstari wa mbayuwayu kuliko hay matakataka yanayosemwa leo,kwanini haya madudu hakuyasema ijumaa walahi hadi mochwari na dispensary zingegoma kaaahhh........"
"najickia kama nimejinyea kwa jinc anavyoongea"
"Mh Rais hajataja KABISA suala la KUBORESHA sekta ya afya. Hatak watu wajue kwamba tuligoma ili wakija hospt wapate huduma bora, wapate dawa, wasilale wawili watatu kwa kitanda nk..
"Anataka watu watuoneje? Anajenga hisia gani kwa waTz?"
" Bora nyie wenye moyo wa kumsikiliza,mie keshaniboa zamaniii"
"Ngoja nimalizie haka ka proposal kangu... labda katantoa. Wakati huo huo...niendelee kuhangaikia kilimo kwanza. !"
"If this is what his speech is all about, i dnt knw what i feel... Bt its real back to square one!!!"
"Baada ya kusoma hii, nimeamua kufanya jambo!
How to 'kill' mwananchi!
www.jamiiforums.comSalamu baba yangu, Natumaini U mzima baba yangu mpendwa' Kijana wako naendela kutafuta Maisha huku mjini na usiwe na wasiwasi kwani barua yako kuhusu kibanda chako cha majani"
"Leo ndio nimethibitisha kuwa ni kichwa cha nazi.Kama ni chemistry basi leo nilikuwa nafanya confirmatory test"
"nilishasema toka mwanzo kuwa huyu jamaa haaminiki. Kimsingi udaktari umeshuka thamani sana kwani wananchi wao wanajali huduma tu. Ni bora hata kusomea uselemara"
"what if all Medical Doctors in public sector resign: only to come back after all the requirements are met?"
"ila naanza kuiona tanzania halisi, maana inawezekana vipi mtu mwenye akili timamu a vote for such a person? That means 60% of tanzanians (who voted for him) are not well upstairs? A president anahutubia watanzania mabox na mapakacha? So disappointed today...sijui kama huyu jamaa huwa anajisikiliza baada ya hotuba zake?"
"Jamani mwenye dili Windhoek,Gabarone,Kigali atuambie basi.Maana unachukua akili za kwako na unajumlisha na akili za mbayuwayu unapata akili zaidi"
"Yaani baba ridhiwani kweli disaster! Yaani mazingira bora ya kufanyia kazi ameliweka kwenye ' na madai mengine mengine'' Najaribu ku internalize hasira zangu, na hiyo ni mbaya.... I AM SUICIDAL!!!!!"
My take: kama nilivyoandika katika makala yangu ya salamu kwa mjomba daktari. Madaktari wa nchi hii wanaonewa na kudhalilishwa sana na bahati mbaya sisi wananchi hatuwapi support wakati wanapohitaji. Ubinafsi wetu wa kujali tiba tu bila kumjali mtoa tiba....unasababisha morale ya madaktari kushuka na tutarajie huduma mbovu zaidi. Kutokana na Elimu yangu ya saikolojia. Madaktari wana HAKI ya kujisikia hivyo hasa baada ya bwana mkubwa kubwabwaja katika hotuba yake na wazee!
Watanzania tutavuna tulichokipanda!
NB: Maoni mengine yameachwa kutokana na ukali wa maneno japo ni HALI INAYOELEWEKA kwa mtu katika kuonyesha hisia zake halisi baada kudhurumiwa haki yake ya msingi!
OLE WAKO UUGUE MTANZANIA!
Shukrani kwa Dr. MMIK, CJSA,NINY, POLK kwa kuniwezesha kupata maoni haya
www.jamiiforums.comSalamu baba yangu, Natumaini U mzima baba yangu mpendwa' Kijana wako naendela kutafuta Maisha huku mjini na usiwe na wasiwasi kwani barua yako kuhusu kibanda chako cha majani"
"Leo ndio nimethibitisha kuwa ni kichwa cha nazi.Kama ni chemistry basi leo nilikuwa nafanya confirmatory test"
"nilishasema toka mwanzo kuwa huyu jamaa haaminiki. Kimsingi udaktari umeshuka thamani sana kwani wananchi wao wanajali huduma tu. Ni bora hata kusomea uselemara"
"what if all Medical Doctors in public sector resign: only to come back after all the requirements are met?"
"ila naanza kuiona tanzania halisi, maana inawezekana vipi mtu mwenye akili timamu a vote for such a person? That means 60% of tanzanians (who voted for him) are not well upstairs? A president anahutubia watanzania mabox na mapakacha? So disappointed today...sijui kama huyu jamaa huwa anajisikiliza baada ya hotuba zake?"
"Jamani mwenye dili Windhoek,Gabarone,Kigali atuambie basi.Maana unachukua akili za kwako na unajumlisha na akili za mbayuwayu unapata akili zaidi"
"Yaani baba ridhiwani kweli disaster! Yaani mazingira bora ya kufanyia kazi ameliweka kwenye ' na madai mengine mengine'' Najaribu ku internalize hasira zangu, na hiyo ni mbaya.... I AM SUICIDAL!!!!!"
My take: kama nilivyoandika katika makala yangu ya salamu kwa mjomba daktari. Madaktari wa nchi hii wanaonewa na kudhalilishwa sana na bahati mbaya sisi wananchi hatuwapi support wakati wanapohitaji. Ubinafsi wetu wa kujali tiba tu bila kumjali mtoa tiba....unasababisha morale ya madaktari kushuka na tutarajie huduma mbovu zaidi. Kutokana na Elimu yangu ya saikolojia. Madaktari wana HAKI ya kujisikia hivyo hasa baada ya bwana mkubwa kubwabwaja katika hotuba yake na wazee!
Watanzania tutavuna tulichokipanda!
NB: Maoni mengine yameachwa kutokana na ukali wa maneno japo ni HALI INAYOELEWEKA kwa mtu katika kuonyesha hisia zake halisi baada kudhurumiwa haki yake ya msingi!
OLE WAKO UUGUE MTANZANIA!
Shukrani kwa Dr. MMIK, CJSA,NINY, POLK kwa kuniwezesha kupata maoni haya