Mkuu umesahau ya Nyerere mwaka 1964 ya kina Sokoine?..Hivi mzee huyu yuko wapi unajua he can be a very good President!Mfano mzuri kweli - tatizo mwanajeshi wa Tanzania akigoma sasa hivi unafikiria Kenya au Rwanda watatuvamia? au Uganda? Umuhimu wa mwanajeshi unakuja wakati wa vita! Nje ya vita mwanajeshi ni tishio la watawala siyo wananchi.
Leo hii Syria anapumua kwa nguvu ya Jeshi tu..Hawa jamaa wakigoma, acha Kenya wala Uganda machinga wenyewe wataingia barabarani barabarani wanajua JK hana walinzi..