Recent content by mlambele

  1. mlambele

    Makosa ya Mtandao: Mbaroni kwa ‘kumtukana’ Naibu Spika, Tulia Ackson

    HIVI MKUU JINA LINASADIFU TABIA HATA KWAKO?
  2. mlambele

    Mara: Magari manne kwenye Msafara wa Rais Magufuli yapata ajali

    hata hivyo inabidi aseme kama yule daktari wa 'out of many, one',kwamba ajali hii imenifundisha kwamba kuna kifo.Ina maana huyu daktari hakuwahi kujua kama kuna kifo? daktari wa madawa ya binadamu kabisa asijue kwamba kuna kifo,ni maajabu ya Tanzania haya.
  3. mlambele

    Mara: Magari manne kwenye Msafara wa Rais Magufuli yapata ajali

    yeye hajali sana hayo mambo,jiulize ni mkoa upi uliongoza kwa mauaji ya Albino mwaka 2015
  4. mlambele

    Ibn Khaldun (1332-1406) na kodi

    ndo maana JIWE kaamua kupunguza kodi kwenye bia?
  5. mlambele

    Kwanini wanawake hushindwa kujitetea wanapokuwa wanabakwa

    kale ka mchezo ni katamu sana weweeeeeeee??/////
  6. mlambele

    Amuua mkewe kisa kuchati kwenye simu na mchepuko

    acha kukurupuka,huyu ni mwanaume wa Mkoa wa Pwani.
  7. mlambele

    Lukaku, Morata na Lacazette: Nani mkali zaidi?

    wote hao ni hewa kabisa mkuu
  8. mlambele

    CHADEMA watoka nje Profesa Chiza akiapishwa

    angalau wameonesha hawaungi mkono ubakaji wa demokrasia unaofanywa na kikundi cha wahuni yaani oligarchy
  9. mlambele

    Taarifa kutoka Ofisi ya RC Makonda

    Maskini atabaki na matatizo kwenye 0713 yake hata pesa ya pipe hatapewa. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. mlambele

    Kamba aliyoachiwa Makonda itamning'iniza na itatoa Somo

    Acha kumtetea Nebukadneza Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mlambele

    GEITA: Wanafunzi waandamana kwenda kwa Mkuu wa Wilaya kupinga mwenzao kupigwa na Mwalimu hadi kuzimia

    Mwambieni Nebukadneza aingize mshahara,watoto wenu watazidi kuuwawa. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. mlambele

    Lukaku, Morata na Lacazette: Nani mkali zaidi?

    Hakuna mkali hapo wote ni wafanyakazi hewa. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom