Kiukweli na mm alivyoanza nilimkubali siku za mwanzoni ila hasa hv anaonekana ni tatizo sio kwa nvhi zingine hata ndani ya taifa lao mfano watu wanapambana kuwapa ajira watu wao ww unakuja kuwaachisha watu badala ya kuongeza ajira kisa kubana matumiz mbona yy kautafuta urais ambayo ni kazi...
Kimsingi yy ndo chanzo cha vita kuanza kwa kukiuka makibaliano ya mkutaba waliyowekeana nyuma. Kifup kaiangamiza nchi yake lakini ni bora kurudi kiwa meza moja na warusi kuliko kuwa karibu na wamarekani hiyo ni hatari zaidi kwake.
Utapotea na utapoteza muda. Kwa mujibu wa NACTE na sheria zao maana vyuo vyote vinavyotoa Diploma kushuka chini vipo chini ya usajili wa NACTE au wanapata usajili toka NACTE ili mwanafunzi asajiliwe ni lazima awe na Passmark kuanzia nne na kuendelea. Hivyo D ni passmark ila zinatakiwa ziwe nne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.