Utapotea na utapoteza muda. Kwa mujibu wa NACTE na sheria zao maana vyuo vyote vinavyotoa Diploma kushuka chini vipo chini ya usajili wa NACTE au wanapata usajili toka NACTE ili mwanafunzi asajiliwe ni lazima awe na Passmark kuanzia nne na kuendelea. Hivyo D ni passmark ila zinatakiwa ziwe nne...
Hawez kuwa safar ya siku mbili anatakiwa apande bas ambalo linaanza safar saa kumi na mbili au saa mbili usiku toka mwanza hivyo atafika msamvu muda mzuri wa mchana na ataoata gari la kwenda Ifakara
Hivi ukisema Tamisemi unazungumzia Wizarani au Kwenye halmshauri au manispaa au mahospitalin maan kwa navyojua Tamisemi ndo wizara yenye ukubwa sana maana ofisi nyingi ziko chini yake.
Sasa wapi kwenye shida na wapi kwenye afadhali, iwe mashuleni huko, kwenye maofisi ya kata huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.