Recent content by Mlamba Chumvi

  1. Mlamba Chumvi

    JamiiForums Tanzania Kagua salio lako CRDB, kuna pesa hazionekani kwenye akaunti

    Huwa nasikia sana haya mambo kama mtu kawekewa pesa kimakosa au pesa zimeingia kimakosa kwenye Ac Ila kwangu sijawah kukutana na mambo kama hayo
  2. Mlamba Chumvi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu ni mkasa wa kweli

    Story toka january mpaka leo
  3. Mlamba Chumvi

    JamiiForums Tanzania Nicole Joy Berry mrembo aliyejulikana kwa kilimo cha vitunguu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za utapeli

    Free ya nn tena kwa upumbavu anaoufanya
  4. Mlamba Chumvi

    JamiiForums Tanzania Zelensky: Ni bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi umempigia mtu magoti

    Kiukweli na mm alivyoanza nilimkubali siku za mwanzoni ila hasa hv anaonekana ni tatizo sio kwa nvhi zingine hata ndani ya taifa lao mfano watu wanapambana kuwapa ajira watu wao ww unakuja kuwaachisha watu badala ya kuongeza ajira kisa kubana matumiz mbona yy kautafuta urais ambayo ni kazi...
  5. Mlamba Chumvi

    JamiiForums Tanzania Dharau za Rais wa Ukraine ni za level nyingine, anawakoromea Marekani nyumbani kwao. Angalia video

    Kimsingi yy ndo chanzo cha vita kuanza kwa kukiuka makibaliano ya mkutaba waliyowekeana nyuma. Kifup kaiangamiza nchi yake lakini ni bora kurudi kiwa meza moja na warusi kuliko kuwa karibu na wamarekani hiyo ni hatari zaidi kwake.
  6. Mlamba Chumvi

    JamiiForums Tanzania JET LI amkabidhi mkewe umiliki wa mali zake zote

    Hivi mfano wa hii ndoa wabongo unatuhusu kweli au tupite tu?
  7. Mlamba Chumvi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tutatafuta Mtanzania mwenye vigezo kumrithi Dkt. Ndugulile WHO

    Nadhan huenda ni awamu yetu kutoa
  8. Mlamba Chumvi

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha

    Ndugu iliishia vip hii story. Jamaa walichukua pesa zao au ilikuweje Sent from my SM-T555 using JamiiForums mobile app
  9. Mlamba Chumvi

    JamiiForums Tanzania Kuna chuo kinachopokea mwanafunzi wa form 4 mwenye D 3?

    Utapotea na utapoteza muda. Kwa mujibu wa NACTE na sheria zao maana vyuo vyote vinavyotoa Diploma kushuka chini vipo chini ya usajili wa NACTE au wanapata usajili toka NACTE ili mwanafunzi asajiliwe ni lazima awe na Passmark kuanzia nne na kuendelea. Hivyo D ni passmark ila zinatakiwa ziwe nne...
  10. Mlamba Chumvi

    JamiiForums Tanzania Riwaya: From Isra to Isra (Kutoka Isra kwenda Isra)

    Safi
  11. Mlamba Chumvi

    JamiiForums Tanzania Watu wanaotumia akili nyingi kwenye mambo yao

    Kiongozi unaishije hadi watu wanakuona tofaut. Nataka kujua mavaz, ongea yako yaan msisitizo, au maongezi yako aina ya kazi unazopendelea kufanya
  12. Mlamba Chumvi

    JamiiForums Tanzania Nilinunua pagala Mbeya 2017 kwa shilingi 3.5M, haliuziki hadi leo

    Kiwanja kiko wapi Mkuu.
Back
Top Bottom