Recent content by Mlamba Chumvi

  1. Mlamba Chumvi

    Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha

    Ndugu iliishia vip hii story. Jamaa walichukua pesa zao au ilikuweje Sent from my SM-T555 using JamiiForums mobile app
  2. Mlamba Chumvi

    Kuna chuo kinachopokea mwanafunzi wa form 4 mwenye D 3?

    Utapotea na utapoteza muda. Kwa mujibu wa NACTE na sheria zao maana vyuo vyote vinavyotoa Diploma kushuka chini vipo chini ya usajili wa NACTE au wanapata usajili toka NACTE ili mwanafunzi asajiliwe ni lazima awe na Passmark kuanzia nne na kuendelea. Hivyo D ni passmark ila zinatakiwa ziwe nne...
  3. Mlamba Chumvi

    Watu wanaotumia akili nyingi kwenye mambo yao

    Kiongozi unaishije hadi watu wanakuona tofaut. Nataka kujua mavaz, ongea yako yaan msisitizo, au maongezi yako aina ya kazi unazopendelea kufanya
  4. Mlamba Chumvi

    Sitashindwa tena kufuga dread kuanzia leo

    Polisi hasa hv wako wengi sana na wanaruhusiwa kujibrand waendane na mazingira wasijulikane
  5. Mlamba Chumvi

    Kuna basi la moja kwa moja kutoka Mwanza hadi Ifakara?

    Hawez kuwa safar ya siku mbili anatakiwa apande bas ambalo linaanza safar saa kumi na mbili au saa mbili usiku toka mwanza hivyo atafika msamvu muda mzuri wa mchana na ataoata gari la kwenda Ifakara
  6. Mlamba Chumvi

    Kufanya kazi TAMISEMI shida tupu, kila ukilala unaota uko jela

    Hivi ukisema Tamisemi unazungumzia Wizarani au Kwenye halmshauri au manispaa au mahospitalin maan kwa navyojua Tamisemi ndo wizara yenye ukubwa sana maana ofisi nyingi ziko chini yake. Sasa wapi kwenye shida na wapi kwenye afadhali, iwe mashuleni huko, kwenye maofisi ya kata huko
  7. Mlamba Chumvi

    Naomba kuelekezwa ofisi za kampuni hii

    Na mm nachojua wapo sumbawanga. Kule buguruni nadhani wale ni Afya
  8. Mlamba Chumvi

    Maaskofu Katoliki Malawi, Zambia, Kenya wamepinga waraka wa Papa Francis, Kwanini maaskofu Tanzania wapo kimya wakati hata waumini hatuungi mkono ?

    Kama sauti ya Papa ni sauti ya Mungu, unamaana kupinga waraka au matamshi aliyotoa Papa ni kumpinga Mungu
  9. Mlamba Chumvi

    Taratibu za kusajili biashara ya mabasi ya mikoani Tanzania

    Kwanini usimshauri hapa wote tupate elimh
Back
Top Bottom