Cha kufanya ni CCCM waachie dola ,japo vyama vya upinzani navyo havina msimamo yakinifu ila kuna kitu kitabadilika hasa kwa wanaotutawala kwa sasa.
Watawala wa sasa baadhi yao,hawafanyi vile wanapaswa kufanya kwa kuamini wao watatawala daima dumu(hizi fikra zinafanya nchi yetu...
Mungu yupo,tukumbuke ameshatupa mamlaka ya kutenda kama yeye...ukisoma mwanzo 1:27 Mungu aliumba mtu kwa mfano wake..
Shida tuliyonayo wanadamu wengi ni hatujui jinsi ya kutumia nguvu iliyomo ndani yetu ili kukabiliana na changamoto mbali mbali badala yake tunabaki tukimlaumu Mungu,Mungu hayupo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.