Recent content by Mlalamikaji daily

  1. Mlalamikaji daily

    Msemaji wa jeshi la Iran, Ali Mohammad Naini aliyekuwa anabeza sana naye auawa

    wanachofanya ISRAEL ni kumnyang'anya kichaa kisu.. tunatakiwa kuwapongeza maana kichaa akiachiwa hachagui
  2. Mlalamikaji daily

    kumbe inshu ya maroboti ya kusifia kwenye mitandao ya kijamii ni kweli

    niko serious kwa yeyote anayehusika anipe kazi.. elfu 7 kwa siku sio haba kama ni comment tano mpaka saba kwa siku.. mimi ni mzuri nikitokea pembeni
  3. Mlalamikaji daily

    BAKWATA ilianzishwa na nani na ni kwa maslahi ya nani?

    ile yule mzee Nyerere alikua mjanja mjanja sana.. yote hii ni kujitengenezea "option" nyingi ili asitokee mtu wa kupindua serikali
  4. Mlalamikaji daily

    kumbe inshu ya maroboti ya kusifia kwenye mitandao ya kijamii ni kweli

    aisee, this is per day? na unatumia bando lako au
  5. Mlalamikaji daily

    kumbe inshu ya maroboti ya kusifia kwenye mitandao ya kijamii ni kweli

    hivi wanalipa kwa comment, kwa siku, wiki au kwa mwezi au wanalipa kwa profile? anayejua wakuu
  6. Mlalamikaji daily

    kumbe inshu ya maroboti ya kusifia kwenye mitandao ya kijamii ni kweli

    Hii inshu ni halisi wakuu, leo wakati napitia kwenye chombo kimoja cha habari nilikutana na habari ya mkuu wa mkoa wa Dar akitoa taarifa ya zawadi ya IDD ya mama basi nikajaribu kupitia comment zile za kupongeza tu.. nikaona mambo ya ajabu sana! 1. Profile zote zimeshare content moja 2...
  7. Mlalamikaji daily

    Makonda ni kama hamtaki Mwana FA pale Wizarani

    Bashite yupo hapo kwa ajili ya afcon tu ikipita anapelekwa waziri wa mambo Ya ndani
  8. Mlalamikaji daily

    Makonda: Tutaunda kitengo kusambaza habari za Tanzania kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

    Halafu aende na bunduki ili hiyo habari itangazwe kwa lazima
  9. Mlalamikaji daily

    Makonda kuteuliwa kuwa waziri wa habari maana yake ni moja tu

    Uhuru wa habari utazidi kuminywa.. Vyombo vitazidi kuminywa na mateso yatazidi zaidi.. Maana ya kumteua ni moja tu.. Kumaliza yale yote yaliyobaki... Kumbuka huyu ni mpenda Sifa yaani hapo Dully Sykes akajifunze.. Kwa hiyo tutegemee sana wimbo wa mama this ... Mama that.. Uzuri ni kwamba hata...
  10. Mlalamikaji daily

    Visiwani Kunani?

    Msije kusababisha tukala hizi ada za watoto
  11. Mlalamikaji daily

    FT: Morocco 1-0 Tanzania | AFCON 2025 | 16 Round | Prince Moulay Stadium, Rabat | 04 January 2026| Saa 1:00 Usiku

    Tunashukuru hata kwa hiki kidogo.. Angalau kelele za mama that.. Mama this zitaisha
Back
Top Bottom