Recent content by Mlalamikaji daily

  1. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa ESS kwa watumishi

    unapanda daraja kwa kutumia score angalau 75 sio percentage... kama ulifikisha percentage 100 automatic ungekuwa na score 70 supervisor wako alitakiwa kufanya assesment kuongezea izo 30.. kwahiyo LIA na supervisor wako labda aliset indicators vibaya
  2. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Tutafakari hiki kisa Kuna jambo la kujifunza

    Hapo zamani za kale kulikuwa na Kijiji kimoja kati kati ya msitu, Kijiji kilibarikiwa kuwa na kuku wengi sana wa kienyeji kuku watamu sanaaaa. Basi sifa za Kijiji kile zikaenea vijiji vya mbali mpaka huko mjini kuhusu utamu na uzuri wa wale kuku! Basi Majambazi ama tunaweza kusema majangili nao...
  3. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    Kwamba tufunge barabara kwasababu majambazi yatapita😅😅
  4. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Marehemu Kibonde aomba msaada wa Kisheria kuhusu mirathi ya baba yake

    Ogopa sana nchi ambayo Kipofu analipia kumuona daktari
  5. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa IRAQ afichua mkopo wa dola milioni 191 kwa Tanzania uliotolewa na serikali iliyopita

    Sawa nchi zote zinakopa lakini ndio uende kukopa hadi IRAQ jamani
  6. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Ngwair aliimba "She got a Gwan" hivi Gwan ni nini?

    She got a gun
  7. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali imewadhulumu madaraja wafanyakazi walioajiriwa mwaka 2014 na mpaka leo hakuna mtetezi

    Wale walioajiriwa mwaka 2014 walikaa miaka 7 (miaka saba) Kwa lugha ya who are you (SEVEN YEARS) bila kupata nyongeza wala kupandishwa daraja bila kosa lolote! imagine kuanzia mwaka 2014 wakaja kupanda daraja mwaka 2021! pamoja na nia nzuri ya serikali LAKINI kuna haja ya kufidiwa hili daraja...
  8. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Bunge la Ulaya laitaka Tume kufuta Ufadhili wa Mwaka 2026 kwa Tanzania

    Chanzo Cha Matatizo (CCM)
  9. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Wema Sepeta acha usanii: IVF ni nini?

    Kwahiyo katumia AI kumbe
  10. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Bima ya Maisha katika Mkopo wa Bank

    vipi kama alikopa kupitia mshahara bima inalipa bank baada ya muda gani?
  11. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Nilimpa namba kwa huruma, kumbe ana heka heka

    Kila ukidhani umeshaona "yote" mara unakutana na post kama hivi
  12. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Kila nikianza ku "save" hela, matatizo ya kifamilia yananisonga. Nifanyeje?

    Kama una mzunguuko wa pesa tafuta kibati Cha watu wengi halafu weka Jina la mwisho..
  13. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Helikopta ya Kijeshi ya Marekani yatunguliwa na Jeshi la Irani

    Two pilots both safe uninjured
Back
Top Bottom