Recent content by Mlalahoi Mlalahai

  1. Mlalahoi Mlalahai

    Rukwa: Adaiwa kumuua mkewe kwa kumnyonga akimtuhumu kuchepuka, naye ajiua kwa kujinyonga

    Jamaa mstaarabu sana, kosa lake ni kushindwa ku control hasira na kulazimisha Mapenzi. Mungu amsamehe.
  2. Mlalahoi Mlalahai

    Suala la Vyeti Feki ni Mbwa kala Mbwa

    Kweli kabisa, usisahau na wale wanaofata urahisi wa ajira na "TEACHERS' ALLOWANCE"
  3. Mlalahoi Mlalahai

    Nimeitwa kwenye interview postal bank Musoma, je pakoje?

    Mkuu me mwenyewe nilitaka kumuuliza hili swali, mende kaangusha kabati hatimae
  4. Mlalahoi Mlalahai

    Huyu kaka nampenda, ila siwezi kumwambia

    Mmmmh uko mkoa gani kwani?
  5. Mlalahoi Mlalahai

    Huyu kaka nampenda, ila siwezi kumwambia

    Aaaah jiweke karibu nae kwa visalam, tabasam kumuuliza uliza baadhi ya vitu..... Body language ndo mkombozi wako na ikishindikana andika barua mtume mtu au omba namba zake kisha mtafute. Usiwe kama mwenzako huku mtaani ananipenda na ninajua ila ananiboa tricks zake, yaaani anapitapita home kila...
  6. Mlalahoi Mlalahai

    Leo nimemuona Baruan Muhuza wa BBC

    Duuuh kataka kufanana na Kajisaidie kubwa Magharibi aka baba Kaskazini
  7. Mlalahoi Mlalahai

    Tunakopesha wanalipa vizuri?

    Mkuu kwa hiyo hakuna mshahara ila ni commission kutokana na kazi utakayoifanya?
  8. Mlalahoi Mlalahai

    Ni celebrity yupi anakuvutia sana?

    Ramsey Noah & Omotola Jalade
  9. Mlalahoi Mlalahai

    Tunakopesha wanalipa vizuri?

    Habari wadau, naomba kujua kuhusu Tunakopesha wameniita lakini niko mbali na kuna kazi nyingine nafanya, ningependa kujua kuhusu Tunakopesha ltd, wanavyolipa na mazingira ya kazi, ili kama wako vizuri niende kama sio niendelee na kazi niliyonayo. Tafadhali
  10. Mlalahoi Mlalahai

    Albert Mangwea (Special Thread)

    Nakumbuka siku tulipoenda kumzika, watu waligoma kuondoka kukatokea vurugu mpaka msalaba ukavunjika. Wakati wa uhai wake ni ngoma zake kali zilizojaa ubunifu ambazo zikipigwa watu lazima washangilie kila ngoma mpya inapopigwa
  11. Mlalahoi Mlalahai

    Nafasi za kazi Kibaigwa Flour Supplies

    Tukiomba watupe reply basi kama zimefika mkuu maana kuna moja ilifeli basi natuma mara kwa mara hata cjui kama zinafika au la
  12. Mlalahoi Mlalahai

    Exclusive: Jay Dee afunguka, atoa sababu za kuitosa ndoa yake

    Ila Jamaa ni mstaarabu kwa kuongea, nafikiri kosa kubwa ni kumuacha mkewe, pia bado hajapata mtu sahihi mixer na mabinti kumshobokea basi kaka anachanganyikiwa
  13. Mlalahoi Mlalahai

    Tarehe ipi huangaliwa unapotuma maombi ya kazi?

    Okay, sawa ila nakumbuka wakati nafanya maombi ya mkopo nilituma siku ya mwisho kabisa ya kutuma maombi, na mimi nilituma nikiwa mkoani ambako ni mbali, sasa katika hali ya kawaida Bodi isingeweza kuyapokea yale maombi siku ile ile, inamaana waliyapokea siku mbili au tatu mbele, hii imekaaje...
Back
Top Bottom