Nafurai kumsaidia huyu mwenzetu anayetaka kujikita kwny kilimo;Pia umejaribu kumpa darasa zuri kuhusu hivi vyumaa.
Ila kwa upande wangu mimi namshauri mdau asinine kabisa John Deer maana mafundi huwa wanaliita “Ndoa ya kikristo”...yaani ukilinunua ndio lako hilo hata ukitaka Kuuza hutopata...
Lakini mbona wote hatutumii ht Dakika moja tuu kuwaza ni wapi huyu jamaa aliipata Qoran tukufu?Alikuja nayo toka nyumbani na kuingia nayo baa?
Kama inavyosemekana alikuwa amelewa....je hao waliompatia Qoran (wakimjaribu) wangemtaka awapige na akawapiga wangeenda polisi kushitaki?
Uhalifu huu...
Taasisi hizi unazozizungumzia ww ni KUBWA kuliko hizo “wishes” zako unazotamani zitimieee...
Ufanisi wake umejengwa zaidi kuzidi hayo unayoyazungumzia....Hazifungamani na wala hazitokuja kufungamanishwa na hayo unayoyataka
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] hongera sn brooo kwa kuwaza nje ya box....watu wanaangalia kipindi hiki tuu cha msimu wa sikukuu...
Lakini wanashindwa kuona fursa nzuri sn ya muda iliyojitokeza kwa wafanya biashara....unajiondokea zako Moshi jioni asbh upo Dar....una fanya zako manunuzi...
Mimi nakushauriii Rafita brand ya FIAT....hutoijutiaaa hii brand....
Ingawa kampuni mama ya Fiat imeshanunuliwa na New Holland lkn kama unaweza tafuta Fiat OG yenyewe...
Hizi New Holland unazoziona sasa hivi ni advanced version ya Fiat ndio maaana kuna Fiat nyngn unakuta imeandikwa Fiat-New...
blacksamurai,
Nimependa uzi wako ulivyodadavua vzr...Pia asisahau MAHINDRA....Hii brand ni PASUA KICHWA balaaa....na ni ndoa ya kikristooo....ukiwa nalo utajuta kuwa nalooo...
Ila kwny uzi wako sijaona popote ulipozungumzia FIAT...
Hii brand sijui kwa nn haisemwi kbs....ni trekta imara...
Cha msingi ninachoweza kukushauri kama unataka trekta jaribu kutafuta brand ya FIAT..
Iwe ni 80-66;70-66;70-56 nk...
Hii brand ni ngumu na Imara sana ingawa jmekuwa haizungumziwi sn...huyo kutoa kuwa nayo maana inatengenezeka kirahisi na vipuri vyake inapatikana sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.