Hakuna comet iliyowahi kuanguka duniani, mkuu unaisemea meteor, meteor ikianguka duniani ndo huitwa meteorite. Meteorite ndio kimondo, comet na meteor ni vitu vowili tofauti.
Natambua ukweli wa Jesus christ na Barnaba hapa. Watu wakamuhukumu Yesu kisa aliwaambia ukweli na uovu wao, lakini watu wakamuua. Barnaba ambaye alikua mtenda maovu halisi wakamuachia huru. Pengo and Gwajima wanahukumiwa kama ilivyowatokea Yesu na Barnaba.
Nikimtazama ZITTO namuona mwalimu JK Nyerere kwa mbali. Namaanisha ana fikra na mtazamoo safi juu ya nchi hii. Kwa upande wangu Zitto ni mwanasiasa anayehitajika saana katika nchi hii. CHA MUHIMU ZITTO ZUBERI KABWE USIFE MOYO, UTASEMWA SAAANA, LAKINI WEWE ENDELEA KUTENDA MEMA, MUOMBE MWENYEZI...
Ni kweli kabisa mkuu, kuna watu wanamchukia Zitto kisa chama kimesema hivi au Mbowe kasema ni msaliti. Kama wasomi watanzania yatupasa tutumie akili zetu kutathmini mambo ambayo Zitto kalifanyia taifa . Ushabiki tuuache tutangulize maslai ya taifa
Hodi humu ndani ......Kwa mtanzania yeyote mpenda maendeleo, bila kujari itikadi ya vyama, kazima atakubaliana nami kuwa mchango wa Zitto bado unahitajika katika taifa hili. Zitto ni muwajibikaji, muwazi, muwajibishaji, Jasiri na ana thubutu.Watanzania wapenda maendeleo tumsaport kijana aliye na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.