Ujamaa umewashinda akina Lenin na Mao utauweza wewe Zitto?
Usitake kuchekesha watu saa hizi.
Umebuuugi man.
Ungekuwaa mjamaa ungejiunga hapo awali na chama cha kibepari? au huo ujamaa umeujuwa...
NI vema viongozi hasa wa vyama vya siasa wakaweka wazi sera zao juu ya mfumo wanaoufuata ili hata wapigakura wajue na wachague kwa kuzingatia hilo pia. Ujamaa kwa sasa umebaki kwenye vitabu, sidhani hata CCM kama inaukubali mfumo huu ingawa hakuna kiongozi aliyejitokeza kuhoji.
Nadhani ni wakati muafaka vyama vya siasa vianze kujitofautisha kwa mfumo wa uchumi wanaouamini na watakao utumia kama wakipewa nafasi ya kuiongoza nchi.
Nikimtazama ZITTO namuona mwalimu JK Nyerere kwa mbali. Namaanisha ana fikra na mtazamoo safi juu ya nchi hii. Kwa upande wangu Zitto ni mwanasiasa anayehitajika saana katika nchi hii. CHA MUHIMU ZITTO ZUBERI KABWE USIFE MOYO, UTASEMWA SAAANA, LAKINI WEWE ENDELEA KUTENDA MEMA, MUOMBE MWENYEZI MUNGU ATAKUPA NGUVU ZAIDI. Ni mtazamo wanguKama una access please watch TBC-1 now!.
Zitto Kabwe na Simbachawene wako live on Tbc -1 wakizungumzia uchumi!.
Mazungumzo hayo yamejikita katika kujadili muswada wa sheria wa kuboresha mazingira ya kufanya biashara Tanzania.
Amesema tatizo kubwa la Tanzania kama nchi, hatuna mfumo wa ukweli wa eundeshaji wa uchumi wa taifa. Katiba inahubiri kuwa Tanzania ni nchi inayofuata misingi ya siasa ya Ujamaa na Kujitegemea. ambayo mfumo wake wa uchumi ulipaswa kufuata misingi ya ijumaa.
Zitto amesema, kiukweli Tanzania haifuati misingi ya uchumi wa kijamaa bali tunafuata misingi ya kibebari tena ubebari mbaya kabisa!.
Kwa maneno haya ya Zitto yanamaanisha sisi Tanzania "We don't practice what we preach"!.
Kwa mtaji huu, jee tutafika?!.
Pasco.