Recent content by Mkwekwe_mchanja

  1. M

    JamiiForums Tanzania Wanaotuambia wanachama kuzifanyia promo shule za binafsi nchini watoto wao wanasoma shule za serikali?

    Kutokutangaza Tanzania one au shule zilizofanya bora Ni sawa sababu hakuna impact yeyote inayotokana na hilo swala katika kukuza elimu yetu isipokuwa ni kuongezeka kwa ada za shule za private pamoja na shule zenyewe. Unapomlinganisha mtoto anayesoma kidete secondary school (ya kata) na mtoto...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anaijua siasa kuliko Magufuli

    Kila kiongozi ametekeleza kwa nafasi yake,Hayati alifocus kwenye usimamizi kwa nafasi yake ambayo sio kibaya. Mama anasimamia kuerejesha siasa nayo pia sio mbaya. Ila basically wananchi tunahitaji maendeleo na maisha yenye unafuu.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hali ya Ngorongoro na wanahabari wanaoshinikiza Wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua

    kwani binadamu nao si wanyama??? na hao akina nyumbu,swala, nk ni wanyama pia.. sasa wanataka kuwasumbua nini watu wa mungu..Acheni wanyama waingiliane
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kijana ukitaka kuoa, kaoe kwenu

    hamna ushauri hapo, na kwenye maswala ya ndoa ndo mambo hayatabiriki...Professor Jay aliimtoa mtu sigimbi lakini mambo yakawa tofauti.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kijana ukitaka kuoa, kaoe kwenu

    2022 bado turudi vijijini kuoa??tuko mbali sana..bwana tutaoa tunaowaona STOP
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ni kweli mapenzi hayana umri?

    ila unaeza kukuta mdada mwenyewe anapenda kuroro na wazee...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Zanzibar wanapunguza gharama za kuunganisha umeme, Tanzania bara tunaongeza

    kwani kabla ya 27000 tsh tanesco ilikuwa haiendeshwi kibiashara? ifikie muda wananchi wanufaike na uongozi wao na rasilimali zao pia, lakini Tz imekuwa na controversial decision country. kila anaeshauri kuhusu uchumi basi inakubalika, just imagine kigamboni barabara inajegwa 2km kila mwaka then...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nimekosa huduma ya afya kwakuwa sijapata chanjo. Je, chanjo ya COVID-19 ni lazima nchini Tanzania?

    Kama unampango wa kuingia nchini marekani au kusafiri nje ya nje, chanjo ni lazima lakini kama route zako ni mbagala, kibada, gongo la mboto. chanjo nia hiari.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Yatambue mafaza ya Simba SC yasiyogusika hata yakivurunda au kuuza mechi

    Lete takwimu sasa, mbona unaleta maneno pekee. we umekazania mapenzi ya mchezaji na jina alokuwa nalo kuliko performance. Unalaza mbongo yako kwa kukaririshwa. kichwa maji
  10. M

    JamiiForums Tanzania Yatambue mafaza ya Simba SC yasiyogusika hata yakivurunda au kuuza mechi

    we pia leta takwimu alafu utuambie unatumia kigezo gani cha kumpa konde mchezaji bora??
  11. M

    JamiiForums Tanzania Yatambue mafaza ya Simba SC yasiyogusika hata yakivurunda au kuuza mechi

    Hakuna lolote uzwazwa tu ndo unauandika hapa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Yatambue mafaza ya Simba SC yasiyogusika hata yakivurunda au kuuza mechi

    Khaa sasa ilo la kushangaa, halafu na wewe kumbe ni mule mule , kwani haujui ubora wa Fei.?? na Fei amechukua tuzo ya ASFC, sasa unambie huyo konde amecheza game ngapi za ASFC na performance yake ilikuaje ila ninachomaanisha ni kwamba tusijaribu kujenga hoja za kuwakandamiza wachazaji kwa kile...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Yatambue mafaza ya Simba SC yasiyogusika hata yakivurunda au kuuza mechi

    Hakuna lolote unalojua, endelea kuandika mambo yako ya siasa. mpira ni zaidi ya unachokijua...take your corner
  14. M

    JamiiForums Tanzania Hali tete Simba: Mo apaniki tena, aushinikiza uongozi uchukue hatua kwa mechi ya leo

    Huyu muhindi hajui lolote kuhusu mpira. akifungwa tu anataka watu wawajibike, sasa hao akina machester na matimu mengine makubwa, mabosi zao wangekuwa kama huyu mwamba hizo social pages zao si zingejaa. kila akifungwa basi kahujumiwa yani utasema timu yake ni ile ya shaolin soccer yan...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Yatambue mafaza ya Simba SC yasiyogusika hata yakivurunda au kuuza mechi

    Haya tuambie walipewa shingapi??
Back
Top Bottom