mnanichekesha sana wadau, chuo hakitoi wahitim!!! kama kinatoa, bas tujue pia ni kwenye nyaja zipi wanaajiriwa? mtoa uzi cjui kawaza nn mpaka aka-post hii kitu.
jitahidi kila unachotaka kukifanya,mtangulize mola wako kabla hujaanza kukifanya na hata baada.ushauri pia unahusika,uspuuze sana mawazo ya watu.kuwa mvumilivu vilevile.
Habari za weekend wadau.
nataka kununua tablet kwa online shopping,lakin nakuwa na hofu juu ya baadhi ya sifa za vifaa hivyo ambazo zitaifanya ikifika hapa kwetu(Tanzania) isifanye kazi kama ilivyokusudiwa.mfano nilipitia post fulan baadh ya wana jf wameshauri kuwa,zile zenye cjui GSM...
mkuu NasDaz,mimi kwa ninavyojua na kuona majengo mengi yanaweza kuwa na floor chache as u said.ila uki consider sifa ya urefu tunaangalia mpaka ule mnara wa juu kabisa ambao mingi yake inakuwa haina kitu/floors.mfano majengo mengi yko nchi nyingi za kiarabu,china nk.ila ukitaka jengo lenye sifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.