Mi na shanga hivi kumbe kibamia plus power au energy ya kuhold au kuprolong ijakulation ni tofauti eeeh..
Ki anatomic nii ijuavyo k huwa ikisuguliwa effective huwa inacontract zile muscles huwa zina kuwa kama zinanyonya au kumumunya kitu, sasa mtu akiniambia story za kibamia huwa napata mgagasiko wa fikra..
Ushaur wangu kwa huyo jamaa na waloa wenye huo mfadhaiko, ni kuwa ni vigumu kubadilisha umbile esp hilo la penis na ndo maana mungu hakulipa muscle ila alilijengea tissues ambazo zina expand na kusinyaa kutokana na blood flow, lkn pia ili ile raha iwe ma dhubuti na na kusiwe na karaha au kero. Kinacho takiwa kwetu sisi wanaume ni ile concetration wakati wa tendo ili kuhimili lile tendo, pia kuzingatia lishe bora zenye kuongeza joto mwilini na kufanya mazoezi ya ku (breath). Yes breath (pumzi) ndo kila kitu ukiweza ku maintain hiki mwana hata kama una kibamia unaeza piga mchezo wa maana mpaka mdada akawa hoi na kisima chake.
Mwisho !
Mie sio mwandishi , wala siwez kutumia tachi screen hivyo muniwie radhi kwa uwasilishaji wangu.