Baada ya kifo cha Rais Magufuli Chama cha Mapinduzi kimeingia katika Mtego mzito sana katika Siasa yake.
Mtego huu unatokana na Kifo cha Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano akiwa Madarakani na kumpata Rais aliyetokana na Katiba.
Kisheria na taratibu za vyama...
Kuna kosa la kiufundi lilifanyika ambalo kwasasa linamgharimu mama kwenye Siasa za Tanganyika.
Kosa hili la Kiufundi lilifanyika tarehe 30 Mwezi wa tatu mwaka 2021 ambapo alifanya Uteuzi wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na aliyepata Uteuzi huu si mwingine bali ni Dr. Philip...
LEO TUPATE ELIMU KIDOGO JUU YA HAWA MABWANA
Na Comred Mwanakijiji Mwanakijiji Mkwawa
Miongon MWA kero kubwa Sana za WALIMU huko makazin NI juu ya hawa jamaa wanaojiita maafisa ELIMU kata
Zamani hawa jamaa waliitwa waratibu elimu kata lkn BAADA YA Kuboresha hili jina na kuitwa MAAFISA ELIMU...
Tumbo halium tatizo ni gas,sijisikii Kula,Nikila nakula kidogo nimeshiba,tumbon nahis kunawaka Moto,misuli imekaza,miguu nakosa nguvu,viungo vya mwili vinauma,mate Yana radha ya uchungu utadhan nimekunywa alovera hakika nateseka sana
Pantaprazole nilipewa za mwez mzima, HELIGOKIT ya wiki moja umri miaka 29
Dalili tumbo linajaa gas,viungo vya mwili vinauma,tumbon kama kuna Moto unawaka,mdomo kuwa na Radha ya UCHACHU muda wowote Hasa ninspoamka asubuh,nakosa hamu ya Kula muda wowote nimeshiba
Habari za asubuhi, mimi nina tatizo la muda mrefu kama miaka mitatu tatizo nililonalo NI mdomo kuwa na ladha ya uchachu, viungo vya mwili kuuma, uchovu kupindukia, tumbo kuunguruma, nimekunywa dawa za hospitalin nyingi ikiwemo HELIGOKIT KIT lakin sipati nafuu.
Juzi nikaenda hospital kubwa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.