Recent content by Mkwawa mnyalukoro

  1. Mkwawa mnyalukoro

    Ushauri: Nilimuacha mtoto kwa baba yake akiwa na miaka 6 je mahakama itanipa mtoto wangu

    Nilipata BWANA Nikaondoka kwa mume wangu bila kufukuzwa baada ya maisha kuwa magumu nikamwachia mtoto wa miaka minne basi mume akaniomba twende nikamkabidhi mtoto ustawi wa jamii. Tukaandikishana nikaondoka nikaenda kupanga ni mwaka sasa dah huku mtaan kwa moto nahtaji kurudi kwa mume wangu na...
  2. Mkwawa mnyalukoro

    Nilimuacha mtoto kwa baba yake na sasa ana miaka 6. Je, Mahakama itanipa haki ya kumchukua?

    Niliondoka kwa mume wangu bila kufukuzwa baada ya maisha kuwa magumu nikamwachia mtoto wa miaka minne basi mume akaniomba twende nikamkabidhi mtoto ustawi wa jamii. Tukaandikishana nikaondoka nikaenda kupanga ni mwaka sasa dah huku mtaan kwa moto nahtaj kurudi kwa mume wangu na mtoto wangu...
  3. Mkwawa mnyalukoro

    Aisee serikali imetukamia walimu

    Kazi ipo walimu,sio mcheza leo kwa mara ya kwanza waziri wa elimu prof mkenda amesema kwanini walimu tunasailiwa. Jipangene jamaa wapo siriasi. Tusipovuka mwaka huu vigezo vya msimu ujao vitakuwa vikali zaidi. Profesa amesema walimu tupo wengi hivyo anatafuta waliobora zaidi ili watoto...
  4. Mkwawa mnyalukoro

    Aisee serikali imetukamia walimu

    Kazi ipo walimu,sio mcheza leo kwa mara ya kwanza waziri wa elimu prof mkenda amesema kwanini walimu tunasailiwa. Jipangene jamaa wapo siriasi. Tusipovuka mwaka huu vigezo vya msimu ujao vitakuwa vikali zaidi. Profesa amesema walimu tupo wengi hivyo anatafuta waliobora zaidi ili watoto walishwe...
  5. Mkwawa mnyalukoro

    Ualimu leo umekuwa dhahabu zaman mlidai ni fani ya waliofeli

    MAISHA bhana ZAMANI MLISEMA WALIMU NI KAZI MBAYA... Sasa hivi mnaililia... Waacheni walimu wainjoi
  6. Mkwawa mnyalukoro

    Ualimu leo umekuwa dhahabu ila zaman mlidai ni fani ya waliofeli acha usaili uwanyooshe

    Maisha bhana zamani mlisema walimu ni kazi mbaya ... Sasa hivi mnaililia... Waacheni walimu wainjoi bhana
  7. Mkwawa mnyalukoro

    KERO Ajira zirudi TAMISEMI tu, huku AJIRA PORTAL ni kupotezeana muda tu

    Jaman Kwa Hali hii Bora serikali irudishe ajira za ualimu KULE TAMISEMI ki ukweli huku kwenye interview tunakomoana hebu fikiria maswali haya kwenye GEOGRAPHY IIIC Miaka kumi imepita leo naulizwa cognitive dissonance, halo effect, erickson's stages of psychological development, the goal of...
  8. Mkwawa mnyalukoro

    Je, CCM itachagua demokrasia ama utaratibu kumpitisha Samia?

    Baada ya kifo cha Rais Magufuli Chama cha Mapinduzi kimeingia katika Mtego mzito sana katika Siasa yake. Mtego huu unatokana na Kifo cha Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano akiwa Madarakani na kumpata Rais aliyetokana na Katiba. Kisheria na taratibu za vyama...
  9. Mkwawa mnyalukoro

    Nani atakuwa Mgombea Mwenza wa Samia mwaka 2025?

    Kuna kosa la kiufundi lilifanyika ambalo kwasasa linamgharimu mama kwenye Siasa za Tanganyika. Kosa hili la Kiufundi lilifanyika tarehe 30 Mwezi wa tatu mwaka 2021 ambapo alifanya Uteuzi wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na aliyepata Uteuzi huu si mwingine bali ni Dr. Philip...
  10. Mkwawa mnyalukoro

    Maafisa elimu kata chanzo cha migogoro ya walimu nchini

    LEO TUPATE ELIMU KIDOGO JUU YA HAWA MABWANA Na Comred Mwanakijiji Mwanakijiji Mkwawa Miongon MWA kero kubwa Sana za WALIMU huko makazin NI juu ya hawa jamaa wanaojiita maafisa ELIMU kata Zamani hawa jamaa waliitwa waratibu elimu kata lkn BAADA YA Kuboresha hili jina na kuitwa MAAFISA ELIMU...
  11. Mkwawa mnyalukoro

    Msaada tafadhali, nimekata tamaa ya maisha

    Nateseka Sana aisee nakunywa dawa nikimaliza kupima wamo yaan dah
Back
Top Bottom