Recent content by Mkwawa mnyalukoro

  1. Mkwawa mnyalukoro

    Je, CCM itachagua demokrasia ama utaratibu kumpitisha Samia?

    Baada ya kifo cha Rais Magufuli Chama cha Mapinduzi kimeingia katika Mtego mzito sana katika Siasa yake. Mtego huu unatokana na Kifo cha Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano akiwa Madarakani na kumpata Rais aliyetokana na Katiba. Kisheria na taratibu za vyama...
  2. Mkwawa mnyalukoro

    Nani atakuwa Mgombea Mwenza wa Samia mwaka 2025?

    Kuna kosa la kiufundi lilifanyika ambalo kwasasa linamgharimu mama kwenye Siasa za Tanganyika. Kosa hili la Kiufundi lilifanyika tarehe 30 Mwezi wa tatu mwaka 2021 ambapo alifanya Uteuzi wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na aliyepata Uteuzi huu si mwingine bali ni Dr. Philip...
  3. Mkwawa mnyalukoro

    Maafisa elimu kata chanzo cha migogoro ya walimu nchini

    LEO TUPATE ELIMU KIDOGO JUU YA HAWA MABWANA Na Comred Mwanakijiji Mwanakijiji Mkwawa Miongon MWA kero kubwa Sana za WALIMU huko makazin NI juu ya hawa jamaa wanaojiita maafisa ELIMU kata Zamani hawa jamaa waliitwa waratibu elimu kata lkn BAADA YA Kuboresha hili jina na kuitwa MAAFISA ELIMU...
  4. Mkwawa mnyalukoro

    Msaada tafadhali, nimekata tamaa ya maisha

    Nateseka Sana aisee nakunywa dawa nikimaliza kupima wamo yaan dah
  5. Mkwawa mnyalukoro

    Msaada tafadhali, nimekata tamaa ya maisha

    Tumbo halium tatizo ni gas,sijisikii Kula,Nikila nakula kidogo nimeshiba,tumbon nahis kunawaka Moto,misuli imekaza,miguu nakosa nguvu,viungo vya mwili vinauma,mate Yana radha ya uchungu utadhan nimekunywa alovera hakika nateseka sana
  6. Mkwawa mnyalukoro

    Msaada tafadhali, nimekata tamaa ya maisha

    Pantaprazole nilipewa za mwez mzima, HELIGOKIT ya wiki moja umri miaka 29 Dalili tumbo linajaa gas,viungo vya mwili vinauma,tumbon kama kuna Moto unawaka,mdomo kuwa na Radha ya UCHACHU muda wowote Hasa ninspoamka asubuh,nakosa hamu ya Kula muda wowote nimeshiba
  7. Mkwawa mnyalukoro

    Msaada tafadhali, nimekata tamaa ya maisha

    Habari za asubuhi, mimi nina tatizo la muda mrefu kama miaka mitatu tatizo nililonalo NI mdomo kuwa na ladha ya uchachu, viungo vya mwili kuuma, uchovu kupindukia, tumbo kuunguruma, nimekunywa dawa za hospitalin nyingi ikiwemo HELIGOKIT KIT lakin sipati nafuu. Juzi nikaenda hospital kubwa ya...
Back
Top Bottom