Kama hana homa yeyote ile inayopelekea kuwa hivyo, basi usiumize kichwa ni hatua za kawaida za ukuaji wa mtoto.
Nb:
Kama sikosei ni mtoto wako wa Kwanza au sio!!.
nimekuelewa sana mkuu ila kwa maisha yetu ya kibongo Ni ngumu sana hiyo mashine uilete home halafu wapangaji wenzako wachukulie poah, vitu kama hivi ukiwa upo kwako au umepanga nyumba mzima ndio inapendeza sana.
Hiyo njia wakala anaejielewa hawezi kukubali kwasababu malipo ya wakala ya mwezi yanategemea na miamala aliyoifanya. Inamaana kila wakala anapofanya muamala yale makato anayokatwa mteja basi wakala anapata % yake. Hivyo kama wakala asipofanya miamala ndani ya mwezi mzima ni sawa na kujikomoa...
Wewe kama nani hadi uwasemee watanzania wote?. Hata kipindi cha ukoloni kuna wapuuzi kama wewe ambao walikua wakiitikia kila kitu ambacho mkoloni alikua anakileta bila kutofautisha faida na hasara ya jambo husika. Eti watanzania hawana tatizo na makato kwani wewe ndie muwakilishi wao?. Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.