Recent content by Mkwaha

  1. Mkwaha

    JamiiForums Tanzania Changamoto gani ulikutana nayo baada ya kumpokea ndugu au rafiki kutoka mkoani

    Naona Wanaume wa dar wapo busy kuwasema wanaume wenzao.
  2. Mkwaha

    JamiiForums Tanzania Mna-save vipi pesa?

    Mchawi wako ni MATUMIZI MAKUBWA dawa ni kupunguza matumizi yasiyo ya msingi.
  3. Mkwaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nenda salama Diana niachie moyo wangu

    Tayari Kimeumana!!
  4. Mkwaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ungefanyaje

    Hadi itokee ndio nitajua chakufanya, kwa sasa hebu niache kwanza.
  5. Mkwaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ni kama moto yanayakiwa yachochewe ili yaimarike zaidi

    Mpe hela. Mpe hela. Mpe hela. Nasema mpe hela. Nihivi mpe hela. Yani nisema mpe hela. Umeelewa, mpe hela wewe!. Bado hujachelewa mpe hela. Usizubae mpe hela. Mpe hela. mpe hela. mpe hela
  6. Mkwaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ni kama moto yanayakiwa yachochewe ili yaimarike zaidi

    Mpe hela. Mpe hela. Mpe hela. Nasema mpe hela. Nihivi mpe hela. Yani nisema mpe hela. Umeelewa, mpe hela wewe!. Bado hujachelewa mpe hela. Usizubae mpe hela. Mpe hela. mpe hela. mpe hela
  7. Mkwaha

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa yangu nimemkopesha laki tano week iliyopita, akasema angenilipa jumatatu ya week hii,ila mpaka sasa hajanilipa

    Hiyo Mbona Ni Issue Ndogo Sana!. Chakufanya Hapo Nawewe Nenda Kamkope. Full Stop!!.
  8. Mkwaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nime share a hotel room na rafiki yangu wa kiume

    Kitendo tu cha kukubali kulala chumba kimoja na mwanaume inaonyesha moja kwa moja ulishakua tayari kuliwa. Ieleweke tu kwamba, Kama hadi asubuhi hakukufanyikachochote basi huo ni uzembe wa msela.
  9. Mkwaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu ameanza kuwa bonge namimi sipendi mabonge

    Mletee mke wa pili
  10. Mkwaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu: Wadangaji tuna Maisha mazuri kuliko Wanawake walio Ndoani

    Oky Mambo Yasiwe Mengi Sister, Nikuandalie Kiasi Gani Kwa Usiku Mmoja?.
  11. Mkwaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu kaolewa, nina kosa lolote hapa?

    Docta: ilikuaje hadi umeumia kiasi hiki?. Mgonjwa: ninachokumbuka niliuzwa unafanya nini na mke wangu?. Baada ya hapo nikahisi giza, fahamu zikapotea ndio nimejikuta niko hospital. MWISHO WA KUNUKUU.
  12. Mkwaha

    JamiiForums Tanzania Ndugai: Ndugu wajumbe nichagueni mimi kwasababu ni mke wenu mkubwa

    je! itakuaje kama alichokisema ni cha kweli?.
  13. Mkwaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nisaidie Kumchallenge mpenzi wangu tuna mwaka kwenye mahusiano yetu, ataje mwanamke anayempenda

    Hapo ukute hata huyo dada angefanyiwa hiyo challenge angemtaja mume mungine tofauti na AMIRI.
  14. Mkwaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu ufa kwenye hii ndoa unazibika?

    Ukweli ni kwamba kuishi na mwanamke muajiliwa wakati mume huna hela ni changamoto. Mkuu najua inauma sana, ila muache aende tafuta wa saizi yako uishi nae. Huyo ameshajazwa sumu na wafanyazi wenzake hapo hakuna tena mapenzi.
Back
Top Bottom