Kitendo tu cha kukubali kulala chumba kimoja na mwanaume inaonyesha moja kwa moja ulishakua tayari kuliwa. Ieleweke tu kwamba, Kama hadi asubuhi hakukufanyikachochote basi huo ni uzembe wa msela.
Docta: ilikuaje hadi umeumia kiasi hiki?. Mgonjwa: ninachokumbuka niliuzwa unafanya nini na mke wangu?. Baada ya hapo nikahisi giza, fahamu zikapotea ndio nimejikuta niko hospital. MWISHO WA KUNUKUU.
Ukweli ni kwamba kuishi na mwanamke muajiliwa wakati mume huna hela ni changamoto. Mkuu najua inauma sana, ila muache aende tafuta wa saizi yako uishi nae. Huyo ameshajazwa sumu na wafanyazi wenzake hapo hakuna tena mapenzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.