Recent content by Mkwaha

  1. Mkwaha

    Changamoto gani ulikutana nayo baada ya kumpokea ndugu au rafiki kutoka mkoani

    Naona Wanaume wa dar wapo busy kuwasema wanaume wenzao.
  2. Mkwaha

    Mna-save vipi pesa?

    Mchawi wako ni MATUMIZI MAKUBWA dawa ni kupunguza matumizi yasiyo ya msingi.
  3. Mkwaha

    Nenda salama Diana niachie moyo wangu

    Tayari Kimeumana!!
  4. Mkwaha

    Hivi ungefanyaje

    Hadi itokee ndio nitajua chakufanya, kwa sasa hebu niache kwanza.
  5. Mkwaha

    Mapenzi ni kama moto yanayakiwa yachochewe ili yaimarike zaidi

    Mpe hela. Mpe hela. Mpe hela. Nasema mpe hela. Nihivi mpe hela. Yani nisema mpe hela. Umeelewa, mpe hela wewe!. Bado hujachelewa mpe hela. Usizubae mpe hela. Mpe hela. mpe hela. mpe hela
  6. Mkwaha

    Mapenzi ni kama moto yanayakiwa yachochewe ili yaimarike zaidi

    Mpe hela. Mpe hela. Mpe hela. Nasema mpe hela. Nihivi mpe hela. Yani nisema mpe hela. Umeelewa, mpe hela wewe!. Bado hujachelewa mpe hela. Usizubae mpe hela. Mpe hela. mpe hela. mpe hela
  7. Mkwaha

    Kuna jamaa yangu nimemkopesha laki tano week iliyopita, akasema angenilipa jumatatu ya week hii,ila mpaka sasa hajanilipa

    Hiyo Mbona Ni Issue Ndogo Sana!. Chakufanya Hapo Nawewe Nenda Kamkope. Full Stop!!.
  8. Mkwaha

    Nime share a hotel room na rafiki yangu wa kiume

    Kitendo tu cha kukubali kulala chumba kimoja na mwanaume inaonyesha moja kwa moja ulishakua tayari kuliwa. Ieleweke tu kwamba, Kama hadi asubuhi hakukufanyikachochote basi huo ni uzembe wa msela.
  9. Mkwaha

    Ukweli Mchungu: Wadangaji tuna Maisha mazuri kuliko Wanawake walio Ndoani

    Oky Mambo Yasiwe Mengi Sister, Nikuandalie Kiasi Gani Kwa Usiku Mmoja?.
  10. Mkwaha

    Mpenzi wangu kaolewa, nina kosa lolote hapa?

    Docta: ilikuaje hadi umeumia kiasi hiki?. Mgonjwa: ninachokumbuka niliuzwa unafanya nini na mke wangu?. Baada ya hapo nikahisi giza, fahamu zikapotea ndio nimejikuta niko hospital. MWISHO WA KUNUKUU.
  11. Mkwaha

    Ndugai: Ndugu wajumbe nichagueni mimi kwasababu ni mke wenu mkubwa

    je! itakuaje kama alichokisema ni cha kweli?.
  12. Mkwaha

    Nisaidie Kumchallenge mpenzi wangu tuna mwaka kwenye mahusiano yetu, ataje mwanamke anayempenda

    Hapo ukute hata huyo dada angefanyiwa hiyo challenge angemtaja mume mungine tofauti na AMIRI.
  13. Mkwaha

    Huu ufa kwenye hii ndoa unazibika?

    Ukweli ni kwamba kuishi na mwanamke muajiliwa wakati mume huna hela ni changamoto. Mkuu najua inauma sana, ila muache aende tafuta wa saizi yako uishi nae. Huyo ameshajazwa sumu na wafanyazi wenzake hapo hakuna tena mapenzi.
Back
Top Bottom