Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,283
- 51,883
Kama ameweza kidogo hata vikubwa atawezaGari na sarawili kweli?
Kama ameweza kidogo hata vikubwa atawezaGari na sarawili kweli?
kwani da mau si alienda kuolewa jamni🤣Da Mau ukipona tutakumiss 😹
Ni yeye huyo katokea mlango wa mbele karudia wa uani 😹kwani da mau si alienda kuolewa jamni🤣
😹😹🤣 Anaweza kutokea dr akamtibu ujue..!!Na kwanini apone😁
Wapo hujui tu masehemu yao😁😁😁 hawa mtakuwa wale watoto wa vigogo wa CCM wanaokwapua mabilioni ya walipa kodi.
Wanapatikana wapi hawa na siye tukajichanganye nao huko?
SAsa si hujatuliaNiache kuwa bless wazee nimetembea nao usiku wa manane, wakati wa jua na kiangazi, nikapeane kwa mtu mwingine...... Hapana
Mimi ni mtulivu sana na kuiba mali ya mtu sijafunzwaSAsa si hujatulia
Mkiya na hela pia unayooMimi ni mtulivu sana na kuiba mali ya mtu sijafunzwa
Nguvu za kiume sina na hela sina duuh 😂Mkiya na hela pia unayoo

Wewe ni katoto kabayakatoto kazuri![]()
nizawadie gari basiiiWewe ni katoto kabaya
Hata nikija kuwa billionea sikununuli toyonizawadie gari basiii