Recent content by MKURABITA

  1. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania "Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

    Ningekuwa wewe, ningeomba moods wakanisaidia kufuta huu uzi. Nina uhakika mpaka sasa utakuwa unajuta kwa nini uliamua kuandika haya. Pole sana.
  2. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania Naibu Spika Tulia Ackson athibitisha Mbunge mmoja kupata maambukizi ya COVID-19

    Thubutuuuu. Kwa Bunge hili hili la Ndugai?
  3. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania Tuiunge Mkono JamiiForums Katika Tanzania Digital Awards

    Done sucessfully
  4. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania Kutoka Buguruni, Dar: CUF wajiondoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, watakaochaguliwa hatutawatambua

    🤣🤣🤣🤣 Lipumba anasema kutarajia kupata haki ni sawa na kunyanyua mikono ukitarajia kushika mbingu.🤣🤣🤣 Kweli hapa mikono itaishia kuchoka bure.
  5. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Mwe mwe mwe!!!! Kumbe huku kuna ma likes ya kumwaga!!
  6. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania ARUSHA: Watoto wawili kati ya wanne waliokuwa wametekwa wapatikana wakiwa wamekufa

    RIP watoto. Kuna watu wana roho mbaya sana jamani.
  7. MKURABITA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

    Go go go Kenya.
  8. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania AGIZO LA RAIS: Taasisi 200 za Serikali zahamishia akaunti zake BoT kutoka Mabenki ya Biashara

    Baada ya kukamilisha kujaza form za mkopo CRDB hivi karibuni, mkopo uliingia ndani ya siku 2. Labda ndo matokeo.
  9. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU na Mwakyembe mnayajua haya kwenye bandari kavu (ICD)?

    Long live JF!!!
  10. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Ni muda muafaka kwa CR7 kuondoka Madrid akapumzikie England, vinginevyo ataondoka kwa aibu kubwa zaidi!
  11. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania Hii Ndio Fomu Maalum ya Maombi ya Safari za Nje; Watumishi wa Umma Waangua Kilio!

    Unamtukana bure jamaa. Ni kweli kwamba hii fomu siyo mpya, imekuwepo miaka, tatizo hakuna aliyekuwa anajali na taasisi chache zilizokuwa zinazingatia walikuwa wanafanya kama formalities tu. Nimeshajaza fomu hii zaidi ya mara moja ila hata sikupata feedback na safari ziliendelea.
  12. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2018, Novemba 17 2015: Algeria vs Tanzania

    Kwa matokeo haya tumepeta faida ya kuongeza watalii na kukuza pato la Taifa. Kila atakayechungulia matokeo ya leo, cha kwanza kuona ni 7-0!!! Kisha atatamani kujua zaidi kuhusu nchi yetu. Atakutana na Kilimanjaro, Serengeti, Ngorongoro nk. Bravo Mkwasa!
  13. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania Nyumba inapangishwa ipo Ukonga -Mombasa

  14. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania Kwanini ISRAEL haishambuliwi na magaidi?

    Mkuu, hili swali unawaonea wana JF, kawaulize HAMAS watakwambia!!!
  15. MKURABITA

    JamiiForums Tanzania Nyumba inapangishwa ipo Ukonga -Mombasa

    Mkuu, malipo kwa Mwaka!!! Na kama mpangaji atataka kuondoka kabla ya mwaka kuisha kodi ya miezi iliyobaki utarudisha? Nadhani imefika wakati hili swala la kulipa kodi ya miezi sita au mwaka liangaliwe upya. Nchi nyingi kodi ya pango hulipwa kila mwezi maana hata mishahara hulipwa kwa week/mwezi...
Back
Top Bottom