Daah, halafu Kuna watu wanakutegemea uwatetee kupitia mtandao wa Jamii forums!
Kwa hakika wasipokufuta kazi baada ya kuona na kusoma hii post yako basi tutaamini kuwa wewe na waliokuajiri mnafanana.
Ukiona mtu anajitangaza mitandaoni kuwa yeye ni Tajiri mpotezee. Hii ni Kwa sababu utajiri haufichiki, kama mtu anao utajionesha Wenyewe bila kupigiwa promo.
1. Tangu lini maiti ikaona aibu?
2.Hiyo nyumba unayojenga kijijini Aishi nani sasa?
3. Kwa kifupi acha mawazo ya kizamani. Hakuna umuhimu wowote wa kujenga nyumba kijijini na Wala hakuna ulazima wa kuzikwa kijijini ukifariki.
Mimi nakushangaa wewe. Wewe unaonekana wa kizamani sana. Hakuna jambo kubwa hapo. Kuwa na ndugu wanaoishi Germany, Turkey etc siyo jambo kubwa kwa sasa. Masafa ya hiyo Refio hata kama yanaishia ndani ya mkoa huo haiamanishi kuwa taarifa haitawafikia walengwa, labda kama huelewi Technologia ni Nini.
Aisee, poleni sana. Waliofanya kosa ni hao ndugu zake kichaa waliompandisha bUs bila kuwa na mtu wa kumuangalia Kwa karibu .
Kwa vile ni kichaa basi hapo hana kesi ya kujibu kutokana na uharibifu aliousababisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.