Mkuu tia mguu de France . Ipo Sinza. Au tia timu City styles. Ipo pale karibu na stendi ya daladala inaitwa Mawasiliano. Utafurahi wewe na mchuchu wako vizuri sana.
Wala hili si suala la wazazi kuingilia kati. Ni suala la wanafunzi wenyewe kupambana ili kujua hatima Yao. Mtoto yupo mwaka wa tatu chuoni bado hana uwezo wa kujipambania mwenyewe? Kama Hawezi basi hakupata maarifa yoyote hapo chuoni,alipoteza muda tu.
Ungemalizia stori yako Kwa kutujuza iwapo huyo baba yake sadiki baada ya kukamatwa alishitakiwa mahakamani? Alipatikana na hatia na hatimaye kufungwa jela?
Mkuu wewe endelea na juisi yako ya mapapai, kwani Shida iko wapi?
Hujui umuhimu wa Gambe wewe. Hayo madhara yote ya Game uliyo orodhesha ni dhaifu sana ukilinganisha na Faida ya Gambe.
Gambe iheshimiwe mkuu
Wewe mwenyewe ndiye uliye endekeza hiyo Hali. Unagombaniwaje kama mpira wa Kona halafu unakosa kuchukua hatua? Umeshindwaje kumlamba mtu kelbu moja tu akatulia tulii kama maji ya mtungi?
Ubarikiwe sana mkuu Kwa kuifanya Tanzania, pamoja na changamoto lukuki unazokutana nazo, sehemu bora ya kuishi.
Mimi nilishawaambia ndugu na marafiki zangu kuwa ni waTanzania 4 tu (walio mbali nami) ndiyo nitahudhuria kwenye mazishi Yao (watakapo aga Dunia):
1. Jaji Joseph Sinde Warioba...
Wewe unabeza wenzako wakati na wewe ni wale wale tu. Au ndiyo Ile waswahili walisema "Nyani haoni Kundule?" Uandishi wako ni mbovu na hata uwasilishaji wako wa hoja haujakaa sawa.
Ulitakiwa utueleze hilo swali aliloulizwa Balele ni lipi, naye alijibu vipi ili tujue kama alikosea au kupatia ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.