Recent content by mkupuo

  1. mkupuo

    JamiiForums Tanzania KERO Ameripoti katika Kituo cha Kazi na kuambiwa vitendea kazi ni vichache hivyo hawezi kufanya kazi hapo. Hii ni sawa?

    Hii issue mbona ilishawahi kuletwa humu jamvini tena na mhusika mwenyewe? Haikupata suluhu.
  2. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Mkuu tia mguu de France . Ipo Sinza. Au tia timu City styles. Ipo pale karibu na stendi ya daladala inaitwa Mawasiliano. Utafurahi wewe na mchuchu wako vizuri sana.
  3. mkupuo

    JamiiForums Tanzania HOJA Uchunguzi ufanyike kuhusu mifumo ya Chuo cha Mwalimu Nyerere pale Kigamboni, vijana wangu wamefutiwa matokeo

    Wala hili si suala la wazazi kuingilia kati. Ni suala la wanafunzi wenyewe kupambana ili kujua hatima Yao. Mtoto yupo mwaka wa tatu chuoni bado hana uwezo wa kujipambania mwenyewe? Kama Hawezi basi hakupata maarifa yoyote hapo chuoni,alipoteza muda tu.
  4. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Ntobi: Waziri wa Maliasili na utalii ajiuzulu kufuatia mauaji ya kijana yaliyotokea Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro

    Hakuna sababu ya mtu kujiuzuru hapo. Waliotenda huo upumbavu ndiyo wawajibishwe Kwa matendo Yao. Kwa kifupi Kila mtu abebe msalaba wake mwenyewe.
  5. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Tukio la kuuawa kwa kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Sadiki mwenye umri wa miaka 19, 3 January 2004.

    Ungemalizia stori yako Kwa kutujuza iwapo huyo baba yake sadiki baada ya kukamatwa alishitakiwa mahakamani? Alipatikana na hatia na hatimaye kufungwa jela?
  6. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Kwani hata huyo unayedhani ni baba halisi wa huyo mtoto una uhakika gani? Pita hivi mkuu.
  7. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Mhubiri afukuzwa akiwa anahubiri Kariakoo, kwa madai ya kuleta usumbufu kwenye biashara

    Huyo mama amefanya Jambo jema. Huyo mhubiri ajenge Kanisa watu wamfuate huko badala ya kuwakera watu barabarani.
  8. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Pombe ni dhambi, acha kuitumia

    Mkuu wewe endelea na juisi yako ya mapapai, kwani Shida iko wapi? Hujui umuhimu wa Gambe wewe. Hayo madhara yote ya Game uliyo orodhesha ni dhaifu sana ukilinganisha na Faida ya Gambe. Gambe iheshimiwe mkuu
  9. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Usiombe uende kutafuta usafiri stendi wanayogombea abiria, wanaweza kukufanya ukajutia safari

    Wewe mwenyewe ndiye uliye endekeza hiyo Hali. Unagombaniwaje kama mpira wa Kona halafu unakosa kuchukua hatua? Umeshindwaje kumlamba mtu kelbu moja tu akatulia tulii kama maji ya mtungi?
  10. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Hata kama atalipa ukishamkopea pesa ukwisha

    Kichwa Cha taarifa yako kinaonesha umemkopea. Lakini maelezo yako yanaonesha umemkopesha .Kipi ni Kipi hapo?
  11. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko Kanuni BoT (GN No. 206, 2026) kuruhusu Wawekezaji wa Kigeni kununua Hati Fungani: Fursa au Mtego wa Kifedha kwa Tanzania?

    Mimi siyo mchumi kivilee lakini naona Faida inazidi hasara, hivyo naunga mkono hoja ya serikali.
  12. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Usiingilie ugomvi wa Wakubwa! Ndicho kinachoenda kuliza wengi

    Mkuu, Kuna Shida inayoweza kumkuta Kuku isiathiri vifaranga vyake? Naamanisha Viongozi (Kuku) hawana vifaranga(Wafuasi)? Kama wanavyo, inawezekanaje ugomvi wa viongozi usiwahusu vifaranga?
  13. mkupuo

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Ubarikiwe sana mkuu Kwa kuifanya Tanzania, pamoja na changamoto lukuki unazokutana nazo, sehemu bora ya kuishi. Mimi nilishawaambia ndugu na marafiki zangu kuwa ni waTanzania 4 tu (walio mbali nami) ndiyo nitahudhuria kwenye mazishi Yao (watakapo aga Dunia): 1. Jaji Joseph Sinde Warioba...
  14. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Naumizwa na ujinga huu, nifanyeje? Mtu kama Balile anashindwa kujibu SWALI la Kharifani wa the CHANZO real? Hakuna kitu kibaya kama kusoma ushakuwa

    Wewe unabeza wenzako wakati na wewe ni wale wale tu. Au ndiyo Ile waswahili walisema "Nyani haoni Kundule?" Uandishi wako ni mbovu na hata uwasilishaji wako wa hoja haujakaa sawa. Ulitakiwa utueleze hilo swali aliloulizwa Balele ni lipi, naye alijibu vipi ili tujue kama alikosea au kupatia ktk...
Back
Top Bottom