Vikao vyote vya kamati kuu na halmashauri juu ya Taifa vinaitishwa na kuongozwa na mwenyekiti wa Taifa ambaye pia ndiye Rais wa JMT.
Sasa iwapo lengo la kikao ni kumuondoa mwenyekiti ni nani atakiitisha na kukiongoza? Hivyo utagundua kuwa hoja yako haitekelezeki.
Mkuu kuwa serious basi. Mbunyeto umeipelekea moto peke yako bila kutushirikisha huku ukifurahi na kujisifu kuwa wewe ni kidume. Halafu Leo umepata mavuno yako ndiyo unataka kutushirikisha. Tafuta hela ukajitibu.
Hamna lolote hapo. Danganyeni watoto wadogo na wakubwa ambao kichwani zimepungua.
Huyo Hawezi kuachia kiti kupitia Instagram. Ni lazima, akitaka kujiuzuru, aitishe press live.
Hata ukileta wazungu, je wachezaji wazawa unao? Ni Mbwana Samatta tu ndiye mpaka sasa alicheza Ulaya.
Linganisha na wachezaji wazawa wa Cote D'Ivoire, Senegal, Egypt na Nigeria.
Kwa hiyo hoja siyo makocha tu Bali pia wachezaji hawapo.
Rais Mwinyi alikuwa mtu mwema sana na mwenye huruma (Mungu amlipe mema huko aliko)
Yeye aliona Mwl Hana posho za katikati ya mwezi kama walivyo watumishi wengine wa umma bali anategemea mshahara tu, ambao haukuwa unakidhi mahitaji ya Mwl Kwa mwezi mzima.
Akaamua kutatua changamoto hii Kwa...
Kanuni ya kawaida inakataa dereva kumsikiliza mkuu wa mkoa badala ya Tajiri yake. Aliyemwajiri huyo dereva na kumlipa mshahara ni Tajiri, siyo mkuu wa mkoa.
Waswahili husema "Amlipaye mpiga Zumari ndiye huchagua wimbo"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.