Recent content by mkupuo

  1. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Kumtetea Dumbya ni kazi wazee

    Nashauri apelekwe pamba Jiji Kwa mkopo.
  2. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Naomba anayemjua Dr mzuri wa ENT Dsm

    Mkuu mpeleke kijana pale Muhimbili- Mloganzila Kuna madaktari bingwa bobezi wa Hilo eneo, utanishukuru baada ya huduma.
  3. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Ajabu: Samia kaanza kuongea na Wanahabari wakati hajamaliza Eda! 🤔

    Inafuatwa Katiba ya nchi, siyo dini yake.
  4. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Ikitokea Kamati Kuu ya CCM ikamfuta Dr Samia Uanachama atapoteza Urais

    Hana mamlaka ya kuitisha na kuongoza vikao bila idhini ya mwenyekiti.
  5. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Ikitokea Kamati Kuu ya CCM ikamfuta Dr Samia Uanachama atapoteza Urais

    Vikao vyote vya kamati kuu na halmashauri juu ya Taifa vinaitishwa na kuongozwa na mwenyekiti wa Taifa ambaye pia ndiye Rais wa JMT. Sasa iwapo lengo la kikao ni kumuondoa mwenyekiti ni nani atakiitisha na kukiongoza? Hivyo utagundua kuwa hoja yako haitekelezeki.
  6. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kwa dalili hizi kwenye uume nitakuwa naumwa nini?

    Mkuu kuwa serious basi. Mbunyeto umeipelekea moto peke yako bila kutushirikisha huku ukifurahi na kujisifu kuwa wewe ni kidume. Halafu Leo umepata mavuno yako ndiyo unataka kutushirikisha. Tafuta hela ukajitibu.
  7. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Japo bado siamini, hadi itolewe na taarifa ya Ikulu, ila kama ni kweli, basi VP tumpe mkwe ili 2030 awe na VP wake yule binti yetu, 2040 binti apokee

    Mzee Paschal acha kuandika utani katika vitu serious. Do you ger me ?
  8. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Raisi kujiuzulu nini chanzo?

    Hamna lolote hapo. Danganyeni watoto wadogo na wakubwa ambao kichwani zimepungua. Huyo Hawezi kuachia kiti kupitia Instagram. Ni lazima, akitaka kujiuzuru, aitishe press live.
  9. mkupuo

    JamiiForums Tanzania KERO Nimelipa Sh 1,000 kwenye Mwendokasi, nikienda chooni napo nalipishwa. Hii imekaaje Wadau?

    Nakumbuka Mhe. Magufuli aliwahi kuulizwa na raia mmoja pale Kimara swali hilo. Yeye akajibu " kama hutaki kulipa hiyo 300 acha mavi yako nyumbani".
  10. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Makocha tunaajili wazungu,kwanini shule pia isiwe hivyo?

    Hata ukileta wazungu, je wachezaji wazawa unao? Ni Mbwana Samatta tu ndiye mpaka sasa alicheza Ulaya. Linganisha na wachezaji wazawa wa Cote D'Ivoire, Senegal, Egypt na Nigeria. Kwa hiyo hoja siyo makocha tu Bali pia wachezaji hawapo.
  11. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu ya walimu kupiga wanafunzi mpaka kuwaua

    Rais Mwinyi alikuwa mtu mwema sana na mwenye huruma (Mungu amlipe mema huko aliko) Yeye aliona Mwl Hana posho za katikati ya mwezi kama walivyo watumishi wengine wa umma bali anategemea mshahara tu, ambao haukuwa unakidhi mahitaji ya Mwl Kwa mwezi mzima. Akaamua kutatua changamoto hii Kwa...
  12. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Msaada wa haraka nimepata Gonjwa la Zinaa

    Mkuu Hongera sana Kwa kazi ya kutukuka.
  13. mkupuo

    JamiiForums Tanzania Je, hii kauli aliyotamka mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ni sahihi kwa taifa?

    Kanuni ya kawaida inakataa dereva kumsikiliza mkuu wa mkoa badala ya Tajiri yake. Aliyemwajiri huyo dereva na kumlipa mshahara ni Tajiri, siyo mkuu wa mkoa. Waswahili husema "Amlipaye mpiga Zumari ndiye huchagua wimbo"
  14. mkupuo

    JamiiForums Tanzania MWAUWASA: Eneo la Kishiri limeendelea kupata huduma kila wiki kadri migao ya maji inavyotekelezwa

    Kwamba Mwanza Ina mgao wa maji! Hii ni kichekesho. Kwani Ziwa limekauka?
  15. mkupuo

    JamiiForums Tanzania KERO Ameripoti katika Kituo cha Kazi na kuambiwa vitendea kazi ni vichache hivyo hawezi kufanya kazi hapo. Hii ni sawa?

    Hii issue mbona ilishawahi kuletwa humu jamvini tena na mhusika mwenyewe? Haikupata suluhu.
Back
Top Bottom