Recent content by mkupuo

  1. mkupuo

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Daah, halafu Kuna watu wanakutegemea uwatetee kupitia mtandao wa Jamii forums! Kwa hakika wasipokufuta kazi baada ya kuona na kusoma hii post yako basi tutaamini kuwa wewe na waliokuajiri mnafanana.
  2. mkupuo

    KERO Nakerwa na tabia ya Wanausalama kuchukua hela za Daladala kila kituo, ukibisha unaandikiwa faini

    Nimepiga hesabu hapo imefika Tsh 28,000/- Kwa Kila daladala Kwa siku.
  3. mkupuo

    KERO Ewe mfanyakazi, usije kurogwa kukopa mkopo wa "Nipe Boost" wa Bayport, utajuta!

    Bayport ni wezi siku nyingi sana nashangaa bado kuna watu wanapigwa.
  4. mkupuo

    DOKEZO Walimu walioajiriwa Mwaka 2025 Dodoma Jiji waliokidhi vigezo inadaiwa waombwa kitu kidogo ili wathibitishwe kazini

    TCS ? Hakuna ofisi ya serikali ktk Tanzania yenye jina hilo ambayo inashughulika na walimu
  5. mkupuo

    KERO DAWASA kwanini mnafunga maji usiku, pakikucha mnafungua?

    Natamani Watimuliwe tu, tumechoka na adabrakadabra zao sisi.
  6. mkupuo

    Chief Godlove kaumbuka kudanganya gari lake Maybach ni million 800

    Ukiona mtu anajitangaza mitandaoni kuwa yeye ni Tajiri mpotezee. Hii ni Kwa sababu utajiri haufichiki, kama mtu anao utajionesha Wenyewe bila kupigiwa promo.
  7. mkupuo

    Kwa nini mabosi au Watu wenye hela nyingi hawajengi kwao? Mkienda kuzika mpaka unaona aibu

    1. Tangu lini maiti ikaona aibu? 2.Hiyo nyumba unayojenga kijijini Aishi nani sasa? 3. Kwa kifupi acha mawazo ya kizamani. Hakuna umuhimu wowote wa kujenga nyumba kijijini na Wala hakuna ulazima wa kuzikwa kijijini ukifariki.
  8. mkupuo

    Kila kesi ni Mahakama Kuu imetupilia mbali kesi

    Ni deliberate move inayo lenga nini sasa Mkuu?
  9. mkupuo

    Wahaya Mmezidi sifa sasa😂

    Mimi nakushangaa wewe. Wewe unaonekana wa kizamani sana. Hakuna jambo kubwa hapo. Kuwa na ndugu wanaoishi Germany, Turkey etc siyo jambo kubwa kwa sasa. Masafa ya hiyo Refio hata kama yanaishia ndani ya mkoa huo haiamanishi kuwa taarifa haitawafikia walengwa, labda kama huelewi Technologia ni Nini.
  10. mkupuo

    Hivi! Watanganyika ni watu au mizimu watu?

    Wewe pia ni Mtanganyika. Umechukua hatua gani dhidi ya ulicho andika zaidi ya kuja kulalamika tu humu jamvini?
  11. mkupuo

    Kuwe na usafiri maalum kuwasafirisha watu wenye matatizo ya akili, leo tumenusurika kifo baada mtu mwenye matatizo hayo kumpiga kabari dereva

    Aisee, poleni sana. Waliofanya kosa ni hao ndugu zake kichaa waliompandisha bUs bila kuwa na mtu wa kumuangalia Kwa karibu . Kwa vile ni kichaa basi hapo hana kesi ya kujibu kutokana na uharibifu aliousababisha.
  12. mkupuo

    Wakatoliki hawana ubaguzi wako na rational judgment.

    Mwigulu siyo mkatoliki ni Mlutheri
Back
Top Bottom