Recent content by mkunyati

  1. M

    Wanaume wenye umri mkubwa hatarini saratani ya kinywa kwa kunyonya sehemu za siri

    Causes of cancer is unknown ila kuna predisposing factors ambazo zinaweza pelekea mtu akapata cancer mojawapo ni hio kunyonya sehemu za siri za mwanamke nk......
  2. M

    Msaada: Joining instructions chuo cha Bagamoyo

    Zikiwa online utaiona kwenye profile yako juu kabisa kunapokaa guidline ndio utaweza kuona ila kama huoni uje bado
  3. M

    Msaada: Joining instructions chuo cha Bagamoyo

    vyuo vya serikali vyote joining instruction zinaweka online kwenye website ya nacte wew kazi yako kwenda kuiprint tu na kuijaza halafu siku ukireport chuoni unaenda nayo hio .
  4. M

    Selection za NACTE awamu ya pili zinatoka lini

    Nacte mwaka huu inapangia watu vyuo vya serikali tu na kawaid vyuo vya serikali masomo yanaanza mwezi wa kumi na moja sasa wew omba upate nafasi kwanza mda upo mwingi t wa kujiandaa
  5. M

    NACTE: Hatutambui nursing assistant wala medical attendant

    sawa mkuu na assistance nurse sio nurse aliyesoma certificate maana mtaan nasikia kwamba assisstanc nurse ni nurse mwenye certifiacte vp kuna ukweli wowot hapo mkuu
  6. M

    NACTE: Hatutambui nursing assistant wala medical attendant

    mkuu samahani naomba uniambie tofauti kati ya nursing assistance na medical attendant
  7. M

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Aah sawa basi kaka kumbe hata ukitumia transcript haina shida maana nilikuwa nawaza sana hapa
  8. M

    Aliyesoma community healthy anaweza kusoma MD in Muhimbili?

    Haaaaaaaa! Yaan hata diploma yake haina na unawaza MD duuh kwanza certificate yake wala haikizi vigezo unasoma mwaka 1 tuuuu ??????? Kuwa serious kijana
  9. M

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    pw kaka na je nauliiza hv kama mtu umemaliza chuo na vyet bado hazijatoka si unaweza kutumia transcript ya chuo na ukaomba au wanaweza kukukatalia
  10. M

    Ajira mpya za afya 2016/2017

    Samahan mkuu mm nipo nje ya mada kidogo hv kama vyeti bado hazijatoka na unataka kuomba nafasi za jkt so unaweza kutumia hata hy transcrpt na ukakubaliwa hata kama bado vyt havijatoka .
  11. M

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    M nilienda juzi kwa mkuu wa wilaya yangu nikaingia ofisi ya mshaur wa mgambo nikauulizia kama nafasi za kujiunga na jkt zimeshatoka au bado wakaniambia bado ila niwe naenda kuuliza uliza kila siku .
  12. M

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Sawa kaka na zile itikadi kwamba watu wenyew vyet vya chuo wanakatagwa kwenye usajili
  13. M

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Aah sawa kiongz wangu na vp zile tetes kwamba et ukiambatanisha na vyet vya chuo wanakukata hawakuchagui vp kuna ukwel wowte hapo mkuu
  14. M

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Samahani mim alikuwa naomba ushaur nimemaliza certificate ya nursing sasa pindi nafasi zitakapo toka mnanishaur niambatanishe na vyet vyangu vya chuo au niweke vya form4 tu maan naambiwa et jkt wanaaangalia fani kama huna fani huwezi chaguliwa jkt..nishaurin hapo jaman maana sielew chocht
  15. M

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Jaman hv kwani kila kambi inachukua vijana wangapi kwa wakujitolea maan nimeona hawa form six wamechukuliwa wengi yaan kambi moja vijana hata 2000 sasa mim nikilinganisha hapo sioni haja ya kutafuta mtu na kuliwa pesa tu kama ukiwa na sifa zote unachaguliwa tu
Back
Top Bottom