Recent content by mkulu1

  1. mkulu1

    Anayeogopa kufa na kutekwa kwasababu ya kusimamia ukweli ni mhaini dhidi ya serikali ya mungu na anamchango mdogo kwenye kujenga nchi bora

    Hivi kwani mkiandika maandiko yenu ni lazima mpka muite watu wa mungu asee nkionaga maandiko ha hivi nakosa interest kabsa, haya madini mnayoshikiloa ndyo yanawaponza zaidi, yatatumika kuwaunganisha watawala wakitaka na yatatumika kuwatenganisha vilevile wakijiskia watawala DINI ni KANSA kwa...
  2. mkulu1

    Je, ni kweli Samia amepokea wito wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC?

    Wr jamaa kwhy akuna watu baki ambao hawana shida na wanapata ajali? M watu wnaoamini kwnye karma na mambo kama hzo huwa nawahisi wnahitaji sana usaidizi naona wanauwezo mdogo sana wakudanganywa hada kwnye mambo muhim .... Ukiamni kwnye karma automatically inamaanisha una IQ ndogo sana ya...
  3. mkulu1

    Njia Mbali mbali za kupata Pesa bila kuvuja jasho

    Akuna hela ya rahisi bila kuhangaikia na vijana watnakaosubiri hzo njia bado kama ni wanaume hawana sifa za kiume nashauri wote kuolewa tu (wnwake na wnaume ) kwn mama kasemaje si anayetaka na afanye tusimlazmishe mtu tuh Hela ya rahisi ni ile tu wanayoongwa wnawake na mabwana zao kama na ww...
  4. mkulu1

    Rais Samia, unataka Lissu anyongwe mpaka afe?

    Kwajyo hatutakiwa kitawaliwa na mzanzibari? Anatakiwa nani? Hii dhambi ya ubaguzi mnayotaka nyie watu majinga haitatuacha tukiichelea na ww ndyo mjinga kwl kwl badae itakuja ubaguzi wa mikoa kama sio makabila....! Kuwa upinzani haimaanishi ww ni intellectual unaeza kuipinga serkali na ukawa...
  5. mkulu1

    Rais Samia, unataka Lissu anyongwe mpaka afe?

    Kwajyo hatutakiwa kitawaliwa na mzanzibari? Anatakiwa nani? Hii dhambi ya ubaguzi mnayotaka nyie watu majinga haitatuacha tukiichelea na ww ndyo mjinga kwl kwl badae itakuja ubaguzi wa mikoa kama sio makabila....! Kuwa upinzani haimaanishi ww ni intellectual unaeza kuipinga serkali na ukawa...
  6. mkulu1

    Mtu umekaa katika taasisi kubwa ya kimataifa leo unaulizia biashara ya duka la mangi, Watanzania hebu kuweni makini

    Kufurahia anguko la mwenzako ni ishara ya roho mbaya na uchawi....!! Haijalishi mtu alkuwa wa namna gan kama hakuwahi kutndea ubaya kufurahia anguko lake hakutakusaidia ktu au shda ni kwann alkuwa akipokea pesa zaidi yako masikini tutaendlea kuwa masikini tuh kwa roho za namna hiii
  7. mkulu1

    Kero za nyumba za kupanga: Nawasha taa moja ila naambiwa nilipe bill ya umeme sawa na wanaotumia TV na Fridge

    Kwahyo ww kwenda kupangaa sinza nyumba ya laki 3 ndy unajiona mjanja asee wajinga huwa wanakuwa wengi sana Afu dogo nawasi hujakuaa unatuletea chai kutoja kuwasha taa moja mpka kupanga nymba ya laki 3 chai hizii
  8. mkulu1

    Jamani asanteni kwa ushauri 🙏🙏

    Kwhyo ww huwa unfanya vtu ili wakuone majirani mkuu??? Na hii ndy inawafnya wadada wng wapende iphone unamulza unaipndea nn anasema tu awwe nayo hata iphone 7 ksa tu jina lile na like epo lililomegwa wamuone watu UKIKUA UTAACHA
  9. mkulu1

    Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

    Mkuu sio kila mtu anakuja jf kw ajil ya kushrki warsha, semina, kufuatilia midahalo ya kisiasa ama kidini, majority ya watu wanaingia JF muda wamemalzana na Kaz na jF inakuwq kama sehem ya kurelax na recreation so hawa wtu waliochosha na bongo kutwa nzma kusaka dough vchwa vmepata moto halaf...
  10. mkulu1

    Wanaume wengi humu hawana pesa wala michongo ya kueleweka

    Nina wasi was na mental fitness ya mtoa mada either ameachwa muacho mbaya ama amechkuliwa bwana na shoga ake mwenye hela....! Kimsingi na ww pia tafuta hela asee tafuta hela uache makasiriko na ww umpate mnyonge na ww umbebee.. Unasema Wanaume weng hawana hela et hiz akil za wap hawa wadada...
  11. mkulu1

    Nahisi nina tatzo la kukosa hisia je, nimuone daktari au tatzo langu ni la kiroho zaidi?

    Nmeandka alnirudshia mahar nliolpa mkuu nlvyotaka kumuoa mkuu nliandka hvy mkuu
  12. mkulu1

    Nahisi nina tatzo la kukosa hisia je, nimuone daktari au tatzo langu ni la kiroho zaidi?

    Ni kwel mkuu mm sio mzuri sana kwnye lugha wala uandishi ila nia yangu ni usaidizi tu kama kuna la kunishaur kwnye tatzo langu nitashukuru zaidi mkuu
  13. mkulu1

    Nahisi nina tatzo la kukosa hisia je, nimuone daktari au tatzo langu ni la kiroho zaidi?

    Kufiwa nilishawah ndy na maumiv nayaskia the same hata nkipoteza hela shda inakuja kwnye mapenz tuh
  14. mkulu1

    Nahisi nina tatzo la kukosa hisia je, nimuone daktari au tatzo langu ni la kiroho zaidi?

    Mkuu unamaana gan sjaelew kujilipia posa?? Kivip mm nina shda nahtaj msaada hata w mawazo nahis haiko saw
  15. mkulu1

    Nahisi nina tatzo la kukosa hisia je, nimuone daktari au tatzo langu ni la kiroho zaidi?

    Salaam sna wna jf familia yetu pendwa.......! Mim ni kijana wa umri wa miaka 33 bado sijaoa nina harakat zngy t za mjini znazonfnya naendlea kuish vzr tu kw mapenz ya mung kwnye hii nchi yetu ya mama kizimkazi. Ukiachana na matatzo mengne ya kibinadamu nahisi nija shida kwnye hisia zangu...
Back
Top Bottom