Je, ni kweli Samia amepokea wito wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC?

Je, ni kweli Samia amepokea wito wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC?

Hapa unatwanga maji kwenye kinu
Nyumbu humu zimejitoa hasa kuamini ICC itamkamata samia wapige vigelegele
Hawata kuelewa
As of now hakuna pesa yeyote inaingia TZ kutoka EU au beberu yeyote, Visa zimeshaanza kupigwa pini hata kwa maofisa wa serikali ya TZ( you know what that means), reserve ya BOT ya 3 months ikiisha na mkaanza kupanga foleni kununua kiwese akili itarudi, kwa sasa wajinga endeleeni kujiona mmeshinda, nyie ni maskini wa kutupa hata Rostam anaweza kuwapa sanctions mka suffer nchi nzima
 
Ruto na Uhuru wapo wapi leo?

Siasa za TZ na Kenya tofauti sana. Rais ajaye kimsingi anateuliwa na Samuya mwenyewe.

ICC ni mahakama ya kusumbua failed states ila nchi yeyote ambayo bado inajiendesha ICC Haina nguvu yeyote labda kutoa matamko tu. Kwanza TZ inaweza kujitoa huko ICC ikabaki kama mpenzi mtazamaji tu.
Kwanini wajitoe kama wanajua ICC haitawasumbua.
 
Kwamba siku hizi ICC inapitisha wito kordoni kimya halafu jumuiya za kimataifa hazijui?

labda huo ni wito wa TECDEMA

NA MWAKA HUU MTAKUNYIA MOTOO!
Kwa mujibu wa Mkatanba wa Roma Kifungu cha 6
Mauaji ya Kimbari,

Kwa madhumuni ya Mkataba huu, "mauaji ya kimbari" inamaanisha yoyote kati ya vitendo vifuatavyo vinavyofanywa kwa nia ya kufuta kabisa, kwa ujumla au kwa sehemu, kundi la kitaifa, kikabila, rangi au kidini, kama vile:

a) Kuua wanachama wa kundi;
(b) Kusababisha madhara makubwa ya kimwili au kiakili kwa wanachama wa kundi;
(c) Kusababisha kimakusudi hali ya maisha ya kundi iliyokusudiwa kusababisha uharibifu wake wa kimwili kwa ujumla au kwa sehemu;
(d) Kuweka hatua zinazokusudiwa kuzuia kuzaliwa ndani ya kundi;
(e) Kuhamisha watoto wa kundi kwa nguvu hadi kundi lingine.
 
Mnaodhani Samia atawajibishwa na ICC I've got an ocean to sell you.
Kiukweli mimi sioni ingawa ilitakiwa iwe hivyo. Wamefanya wakijua matokeo maana yake walijipanga mda mno wakaanalyse matokeo yake na kuja na majibu.Waliyoyafanya waliyajua na wakaweka mipango thabiti ndo maana anaongea atakavyo na aliandaa vikosi kabla na baada na anasema azarani. Yule kiukweli hata kama yuko shit hole coantries ila hagusiki na hawezekani. Ukweli mchungu nimeukubali baada ya tangu 29 kwa zile tambo wanajua kitu kinavyoendelea. Wao ndo washindi! Tuendelee kumuachia Mungu!🙌🙌Kama kuna kitu kitatokea basi ndo kinaitwa muujiza
 
As of now hakuna pesa yeyote inaingia TZ kutoka EU au beberu yeyote, Visa zimeshaanza kupigwa pini hata kwa maofisa wa serikali ya TZ( you know what that means), reserve ya BOT ya 3 months ikiisha na mkaanza kupanga foleni kununua kiwese akili itarudi, kwa sasa wajinga endeleeni kujiona mmeshinda, nyie ni maskini wa kutupa hata Rostam anaweza kuwapa sanctions mka suffer nchi nzima
Ingekuwa hivyo, asingekuwa anaropoka vile.Zaidi tunamuon akizidi kujigamba mbele ya camera kwa kila hotuba yake. Mabeberu wenyewe nawahisi wamemuhakikishia ulinzi mzuri tu hata kwa kuwauwa tena maelfu. Hii dunia ni ya kikatili mno!! Hatumuwezi labda tuamue wote kwa sauti moja kitu ambacho tayari wamefanikiwa kukigawa.Kabila ilikuwa ngumu ila dini imefanikiwa kutugawa ingawa watu hawajui. Nilipga story na mjeda muislam kuhusu oct29, alinijibu wewe unadhn polisi walitakiwa wawaache tu...lazima wapgwe risasi. Leo yuko hospital kwa ajali.
 
Kwa mujibu wa Mkatanba wa Roma Kifungu cha 6
Mauaji ya Kimbari,

Kwa madhumuni ya Mkataba huu, "mauaji ya kimbari" inamaanisha yoyote kati ya vitendo vifuatavyo vinavyofanywa kwa nia ya kufuta kabisa, kwa ujumla au kwa sehemu, kundi la kitaifa, kikabila, rangi au kidini, kama vile:

a) Kuua wanachama wa kundi;
(b) Kusababisha madhara makubwa ya kimwili au kiakili kwa wanachama wa kundi;
(c) Kusababisha kimakusudi hali ya maisha ya kundi iliyokusudiwa kusababisha uharibifu wake wa kimwili kwa ujumla au kwa sehemu;
(d) Kuweka hatua zinazokusudiwa kuzuia kuzaliwa ndani ya kundi;
(e) Kuhamisha watoto wa kundi kwa nguvu hadi kundi lingine.
Ni sawa ila kwa hali ilivyo sioni akikamatwa.Zaidi watadhurumu tena uchaguzi wa mwaka 2030. Tuwe hai tu ila ndo mwanasiasa alivyo, hapo anapanga mipango ya miaka mitano ijyo ya mrithi wake na syo maendeleo tena. Kwa maoni yangu hashikiki wala kuguswa kabla na baada ya utawala wake.😥😥😥Ukweli mchungu wa kula na kipofu ni mega alipomega!!
 
Ngoja tumuulize mwandani wa hapo ikulu
Niko pamoja na samia (huyu anakaribia kukimbia ID YAKE😂 baada ya kupigwa na kitu kizito hapo kwenye corridors za wenyewe)
stakehigh
Stuxnet
Ritz
gallow bird
THE BIG SHOW
Tlaatlaah
Hawa wote kwa sasa wapo kwenye semina ya wiki kadhaa, ndiyo sababu hawaonekani hapa kwa sasa. Subiri watakapoibuka tena utajuwa semina ilikuwa inahusu nini. Ile vita ya wakatoliki imewaendea vibaya sana, imebidi wote waitwe na kupigwa msasa.
 
Hapa unatwanga maji kwenye kinu
Nyumbu humu zimejitoa hasa kuamini ICC itamkamata samia wapige vigelegele
Hawata kuelewa
"ICC watamkamata"?

Mbona tutamkabidhi sisi wenyewe (waTanzania) wamshughulikie wanavyotaka wao.

Wewe unadhani hii mitutu ya bunduki inayomzunguka sasa hivi ni ya kudumu? Subiri uone jinsi hali itakavyombadilikia haraka sana.
 
Ingekuwa hivyo, asingekuwa anaropoka vile.Zaidi tunamuon akizidi kujigamba mbele ya camera kwa kila hotuba yake. Mabeberu wenyewe nawahisi wamemuhakikishia ulinzi mzuri tu hata kwa kuwauwa tena maelfu. Hii dunia ni ya kikatili mno!! Hatumuwezi labda tuamue wote kwa sauti moja kitu ambacho tayari wamefanikiwa kukigawa.Kabila ilikuwa ngumu ila dini imefanikiwa kutugawa ingawa watu hawajui. Nilipga story na mjeda muislam kuhusu oct29, alinijibu wewe unadhn polisi walitakiwa wawaache tu...lazima wapgwe risasi. Leo yuko hospital kwa ajali.
Beberu not interested na Tanzania,we don’t have anything to offer ukweli ndio huo, ndio maana mikopo ni ya wachina na waarabu tuu
 
Kiukweli mimi sioni ingawa ilitakiwa iwe hivyo. Wamefanya wakijua matokeo maana yake walijipanga mda mno wakaanalyse matokeo yake na kuja na majibu.Waliyoyafanya waliyajua na wakaweka mipango thabiti ndo maana anaongea atakavyo na aliandaa vikosi kabla na baada na anasema azarani. Yule kiukweli hata kama yuko shit hole coantries ila hagusiki na hawezekani. Ukweli mchungu nimeukubali baada ya tangu 29 kwa zile tambo wanajua kitu kinavyoendelea. Wao ndo washindi! Tuendelee kumuachia Mungu!🙌🙌Kama kuna kitu kitatokea basi ndo kinaitwa muujiza
Alipanga kuua kwa vile hagusiki? Hagusiki na nani kwa jeuri ipi? Unajua kuna miamba zaidi yake imegusika?
 
Kiukweli mimi sioni ingawa ilitakiwa iwe hivyo. Wamefanya wakijua matokeo maana yake walijipanga mda mno wakaanalyse matokeo yake na kuja na majibu.Waliyoyafanya waliyajua na wakaweka mipango thabiti ndo maana anaongea atakavyo na aliandaa vikosi kabla na baada na anasema azarani. Yule kiukweli hata kama yuko shit hole coantries ila hagusiki na hawezekani. Ukweli mchungu nimeukubali baada ya tangu 29 kwa zile tambo wanajua kitu kinavyoendelea. Wao ndo washindi! Tuendelee kumuachia Mungu!🙌🙌Kama kuna kitu kitatokea basi ndo kinaitwa muujiza
Aisee! Mbona uko mnyonge hivyo?
 
Au dnio maana Yule mChina kaja?

Bora iwe uongo sisi Ni Nchi Huru, wasituingilie siasa zetu kwani na wao wana zakwao
Hakuna Maskini aliye huru humu duniani. Si ni watumwa wa matajiri. Mchina hana lolote wala huyo Mrusi. Kama Maduro tu amechukuliwa kama Kumbukumbi, hako kabibi. Manyonyo makubwa kenu si katachukuliwa kama Panya tu. 😂😂
 
Ingekuwa hivyo, asingekuwa anaropoka vile.Zaidi tunamuon akizidi kujigamba mbele ya camera kwa kila hotuba yake. Mabeberu wenyewe nawahisi wamemuhakikishia ulinzi mzuri tu hata kwa kuwauwa tena maelfu. Hii dunia ni ya kikatili mno!! Hatumuwezi labda tuamue wote kwa sauti moja kitu ambacho tayari wamefanikiwa kukigawa.Kabila ilikuwa ngumu ila dini imefanikiwa kutugawa ingawa watu hawajui. Nilipga story na mjeda muislam kuhusu oct29, alinijibu wewe unadhn polisi walitakiwa wawaache tu...lazima wapgwe risasi. Leo yuko hospital kwa ajali.
Wr jamaa kwhy akuna watu baki ambao hawana shida na wanapata ajali? M watu wnaoamini kwnye karma na mambo kama hzo huwa nawahisi wnahitaji sana usaidizi naona wanauwezo mdogo sana wakudanganywa hada kwnye mambo muhim ....
Ukiamni kwnye karma automatically inamaanisha una IQ ndogo sana ya maisha....!!!
 
Back
Top Bottom