Recent content by Mkukirango

  1. M

    Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

    Sio mbitiyapi?! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

    Wewe huna familia. Na kama unayo na unaipenda utakuwa unesha weka mikakati ya kuwalinda. Hakuna mtu atakuja kuchukua hata sent tano nikifa. Mali zote nazotaka ziwe za familia yangu zimesajiliwa kwa jina langu na mke wangu. So hakuna jina la mjomba kwenye mali zangu atachukua vipi Sent using...
  3. M

    Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

    Mimi pia nampa mke wangu pesa yote. Sometimes natoa pesa hata 500k namuwekea tu kwenye dressing table yake. SIPENDI kuombwa matumizi kila wakati. Napenda kumalizana nae kabsaaa. Hata pesa za miradi ya maendeleo anaweka kwenye acc yake. Niko rafu sana kwenye matumizi ya pesa lakini yeye ndio...
  4. M

    Wasimamizi wa Elimu Hawajaelewa 'Elimu bure ni nini'.

    Habari zenu ndugu...! Nimetafuta pa kusemea, nimegundua kwa kiasi kikubwa hii ni sehemu salama zaidi kulingana na hali ilivyo kwa sasa nchini. Uhuru wa kuongea unapimwa na unaemuongea. Tafsiri ya elimu bure imekuwa ni ngumu zaidi hawa kwa viongozi wa elimu kwenye halmashauri zetu. sera hii ya...
  5. M

    Wanawake kulia wakati wa mapenzi

    Kwa hali ya uchumi ilvyokaba watalia sana. NO MONEY. Halafu akikisheni mkiwapa TRA wakate 18% yao
  6. M

    Usioe wala kuolewa familia ambazo baba na mama wametengana. Niliambiwa nikapuuzia ila naisoma namba

    Ulicho sema kina ukweli. Mama aliyeitunza ndoa yake kwa miaka 30 hawezi kumshauri mwanae aachane na mumewe walioishi kwa miaka 3. Ukweli ni kwamba binti au kijana akitoka kwenye familia iliyo imara (baba na mama) siku zote atapenda kuona familia yake pia inakuwa stronger. Hili nimeliona kwa...
  7. M

    INAUZWA Hp for sale

    Mzee kama ni used mwezi mmoja basi ulikuwa unaifua. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  8. M

    Mtaalam wa laptop za Dell unisaidie hapa natamani niitupe i laptop

    Hiyo inaweza tokea kama VGA imekufa. Fanya utumie monitor nyingine uone kama itakubali. Window 7 nzuri sana kama shughuli jnazofanya ni nyingi na za risk kubwa kukutana na vitus. Windows 8.1....is very delicate.
  9. M

    Boeing: I am pleased to welcome Air Tanzania as the newest member of the Dreamliner family

    Kujifunza kutoka kwa aliyefanikiwa ndio njia bora ya kufanikiwa. Wewe kama mwalimu wako alifeli sio rahisi ukafaulu. Anachofanya Rais ni kuiga maendeleo. Hili halina ubaya. As longer as it provide positive effects to our country I don't see why we shouldn't
  10. M

    MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

    Hapo ndipo masuala ya uchawi yanayopata nguvu.
Back
Top Bottom