Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Kilio cha utamu.....
tunashukuru kwa taarifa kuwa una mzungu,asante!Wanao lia machozi ,either anaumia ama ni mnafki.. Me wangu huwa anatoa miguno ama ananiita jina langu through out.. Otherwise.. Watanzania wengi wanachukulia mapenzi kama kitu cha ajabu mno, nakushauri tafuta mzungu kama mimi I GUARANTEE utaenjoy sex.
Hahaha et eMimi alie(hata kwa kuniibia)ndo naridhika!
Ha ha hatunawaibia tu
Wakati akilia unajiona kidumeWaongo tu
Furaha ikizidi sana haitoi kicheko bali inatoa kilioHabari waungwana!.
AaView attachment 476586
Huwa kuna wakati mtu ukikaa unajiuliza vitu vingi,vya busara,vya kitoto,vya kijinga nk,lakini ili upate majibu lazima usikie pia wengine wanasemaje.
Huwa najua kama mtu akifurahi mara nyingi hucheka;akichukia au kuumizwa hulia
.
Lakini huwa wakti wa tendo la ndoa,watu wengi hasa wanawake hulia,na muda mwingine hata kama hatoi sauti basi ukimuona sura basi anakuwa anaikaza kama anaumia fulani hivi,na pengine ukimaliza ndo atacheka je huwa ni nini hasa kinachowafanya wasicheke kuonesha wanafurahia? Au kucheka kubaya zaidi kuliko kulia?.Hayana shule haya jmn msinicheke...natangaza interest mm ni "me" ukiwa unajibu uzingatie hilo....
Kwa hali hiyo bc wabeijing wawe wanawagongea ma_men inaelekea wanapata raha kuwazidi
Aisee nimecheka mpaka nikajistukiaWengine wanalia hasira tu walitegemea watakutana na muhogo wa jang'ombe halafu wanakutana na kibamia