hapa sasa upinzani inatakiwa waandae siasa ya kuchomoa roho tu ndipo heshima itakuwepo si vinginevyo maana hawa hawana nia njema!!!
Maana imesemekana bashite alionekana mitaa hiyo na squad yake!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
haiingii akilini kuwa umefanya kazi kwa miaka mine na miezi miwili halafu ukimbie uache stahiki zako zote ukiwa umebakiza miezi isiyozidi sita kuzipokea!!!
Huu upuzi hata mjinga haamini!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna nzige wa aina mbili kuna nzige wastaarabu wanaopatikana mahala pengi tu kipindi cha masika hao wamaliwa
halafu kuna nzige waoitwa nzige wa jangwani hao wanaitwa askari wa MUNGU hua anawatumia kulipiza kisasi na kutuliza hasira zake kwa wanadamu pale nchi inapofanya yasiyostahili hasa...
jibaba hata mie hiyo ishawahi nitokea huku kwetu sauzi ukishazoe haya mijimama mikubwa inakua ni vigumu kurudi kuzoeana na hawa wadogo
Maana hawa wadogo tatizo lao liko kwenye mechi ni wadhaifu kula mbunye sometime mpaka uangaike nae wee halafu hauli kwa kujiachia sana na vyenyewe havijiachii...
muwe mnaenda kukojoa kwanza kabla ya kuleta hizo mada zenu mbovu siyo kukaa na mikojo mpaka zinapanda kwenye ubongo zenu halafu mnatuletea mada zilizochanganyikana na mkojo!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
haleluya ubarikiwe kwa kutaka kujua ukweli juu ya melkizedek mfalme wa wa Salem yaani mfalme wa amani
ujue tangu mwanzo MUNGU hajawahi kumuacha mwanadamu peke yake kwa ufupi melkizedek ndiye yesu mwenyewe kwa sababu biblia imeelezea mambo mengi kimafumbo hivyo inahitaji maarifa ya kimungu ili...
tumia akili kama sisi wa south kwa taarifa yako nikusaidie bure huyo mwanafunzi wa kata aliefanya vzuri siyo zao la yeboyebo ni mwanafunzi aliesomeshwa na mzazi wake private school kabla ya huyo baba yako unaemsifia kuvuruga uchumi wake na kuamua kumrudisha mwanae akamalizie masomo yake yeboyebo!!!
sky we unafikiri nani anapenda shida au nani anapenda aishi maisha ya kimasikini? jua bahati haiji mara mbili na ningejua huja mwisho wa safari kinachotakiwa aingie kwenye hesabu ya ule msemo ya kuwa mchumba HASOMESHWI!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.