zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 18,919
- 28,535
- Thread starter
- #321
Okay basi naomba unisaidie Yesu anaposema ametumia mafumbo (Parables) ili "kuficha" alimaanisha nni?? Je ili uweze unlock hizo siri ufanyeje??Msingi wa hoja yangu ni kukataa kumsingizia roho mtakatifu kwamba wasioelewa jambo basi hawana huyo roho mtakatifu, huenda kuna wasioelewa kwa sababu "wanafalsafa" wamewachanganyachanganya kwa falsafa zao badala ya ukweli ulio wazi na ulio simple kabisa aliofundisha Yesu Kristo wa Nazareti
Huo mstari unasema Roho mtakatifu anafahamu kila kitu hivyo hata hizo parables cjui unabii, ndoto utaweza zitegua ukimshirikisha maana sio kila kitu kimeandikwa kwenye Biblia.
Hakuna mwanafalsafa anayepotosha, bali kwa mujibu wa Biblia Lucifer ndio anayepotosha Ufunuo 12:9,18:2 hivyo njia pekee ya kuepuka kudanganywa ni kupima hiyo Roho/fundisho kama limetoka kwa Mungu au shetani 1 Peter 4:1-8.
Ni hayo tu