mkuu umefanya jambo la msingi sana na ni mfano wakuigwa kama intelligent person wito wangu kwa wahusika wa aya mambo wasiwe wasili sana especially wizara ya ulinzi na jeshi lakujenga taifa pindi zinapokuwa zinazagaa taharifa kama izi wawe wepesi kulitolea maelezo so mpaka watu waanze kutapeliwa...
ivi aiwezekani wapinzani kuungana wakaweka pembeni itikadi zao tukajenga nchi,nimeona kata ya mnima huko mtwara imeonesha wapinzani wananguvu kuliko chama tawala tufike mahali wa tz tubadilike ukombozi wakweli auwezi kuja kwa itikadi ya vyama
Ata sielewi wapi watanzania tunaelekea chombo kama hiki kila kukicha kinapata tuhuma je sisi walalahoi tunaoishi chini ya dola moja kwa siku nani atatutetea kama wanasiasa wenye majina wanatafutwa usiku na mchana, Ee mungu tuepushe na aya mambo awa wa roho wamadalaka watatuua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.