donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
Wakuu,
Naomba leo nilienda pale makao makuu ya jeshi Upanga kufatilia kuhusu hizi tetesi za nafasi za professionals kutoka.
Uzuri kuna Major mmoja ninafahamiana nae ambaye akani-link direct mpaka kwa mkurugenzi wa Army recruitment. Naomba nimnukuu,
Hivyo wakuu wenzangu let's be patient tusubiri wakizitangaza wenyewe.
Pamoja.
Naomba leo nilienda pale makao makuu ya jeshi Upanga kufatilia kuhusu hizi tetesi za nafasi za professionals kutoka.
Uzuri kuna Major mmoja ninafahamiana nae ambaye akani-link direct mpaka kwa mkurugenzi wa Army recruitment. Naomba nimnukuu,
mwisho wa kunukuu."Taarifa hizi zilizozagaa kuhusu nafasi za professionals kutoka si za ukweli na za uzushi mtupu. Tumepata taarifa kwamba wengine wametapeliwa hadi fedha kwa ahadi ya kupatiwa nafasi za kujiunga na jeshi. Jumamosi tutatoa tamko rasmi kwenye vyombo vya habari kukanusha taarifa hizi za uongo. Jeshi lina taratibu zake na nafasi zikitoka hazifanywi siri bali hutangazwa katika vyombo vya habari"
Hivyo wakuu wenzangu let's be patient tusubiri wakizitangaza wenyewe.
Pamoja.