haya wale graduate ,police washaanza kuita

haya wale graduate ,police washaanza kuita

pilimichuma

Member
Joined
Apr 8, 2011
Posts
42
Reaction score
21
kuna marafiki zangu wametumiwa email wamechaguliwa u-police....jibu kwa wale waliokuwa wanaulizia
 
Em kuwa sirias watatumiwaje email wakati wanachotakiwa kufanya ni kupost list nzima ya majina ya watu waliochaguliwa maana si watu wote wana acces ya net bwana plz ndugu be seriou acha kututia presha
 
arno labda list watatoa ila marafiki zangu wawili tuliomba nao..wametumiwa katika email..ci unakumbuka zile form kulikuwa kuna sehemu ya kujaza email...tuvute subira pengine kesho au week hii watatoa list
 
Last edited by a moderator:
ndugu yangu uwe unatowa taarifa zilizo kamilika wengine tupo kitaa tunazisikilizia izo post
 
Back
Top Bottom