Bora tu akasafishwe kwa uhakika Na usalama zaidi akumbuke hayo ndo maisha yake . Na asiposafishwa ataendelea tu kubleed ambayo ni shida Na pia anaweza pata uvimbe kwenye kizazi Na kupelekea kansa kwa hiyo aweke aibu pembeni asafishwe
Mama LA mama jaribu kuangalia Siku ambayo yuko Na furaha then mpikie msosi anaoupenda then tafuta eneo nje Na home mtoe out umuulize kwa nini huwa anakuwa hivyo huenda akawa Na shida so ukishajua itakusaidia namna ya kuishi nae vizur zaid Na pia kwa kujua tatizo utatafuta solution taratibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.