Recent content by Mkirua2

  1. M

    Msaada jinsi ya kujisajili website ya Zimamoto

    Kuna aliyefanikiwa kutuma maombi tujizane
  2. M

    Naomba kufahamishwa haya kuhusu Pikipiki

    Msaada jamani, HIVi pikipiki Kwa matumizi ya kawaida mtu anatakiwa afanyie service vitu gani na Kwa mda gani? Pia boxer 150 mazuri yake na mabaya yake ni yapi Kuna madhara ya kubana mafuta kwenye pikipiki Unawezaje kutambua kifaa ulichofungiwa kama ni og kwenye pikipiki Hasa hizi za...
  3. M

    Ushauri special kwa wanaume special

    Kweli ulichosema nimejionea mkuu wapo
  4. M

    Ushauri: Niende kidato cha tano au chuo?

    Sorry na maanisha kujiweza kifedha. Na kiakili nafikiri hapo kidogo umenipata
  5. M

    Ushauri: Niende kidato cha tano au chuo?

    Nenda chuo kama unajiweka
  6. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Wadau hivi hizi sahili huwa za oral au wtitten
  7. M

    Tangazo la kuitwa kujiunga na mafunzo ya awali ya Jeshi la Magereza 2023

    Hivi haya majina ni ya walioomba mwezi wa 5 au ya mda
  8. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Hivi hiyo list sio ya mwezi uliopita ? Sababu naona wanaongelea waliokuwa interview
  9. M

    Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Ngoja subira tuvute subira labda wanatoa kwa awamu kama ikitokea wiki hii imeisha basi kutafuta mapambano tena
  10. M

    Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Sure japo makundi tofauti ila ndio hivyo
  11. M

    Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Mbona kuapload vyeti na details inagoma nyie system inakubali au shida ni nn
  12. M

    Naomba ushauri kuhusu umwagiliaji kwa kutumia sola

    Mm sikusema ni lazima nimempa option 2. Pia kumwagilia mchana sio utaratibu sahihi ni shida tu zinatufanya tumwagilie mchana
  13. M

    Naomba ushauri kuhusu umwagiliaji kwa kutumia sola

    Pia tambua wengi wanaweka battery nyingi kuongeza mda wa kufanya Kaz na yote ni mahesabu hufany kitu sababu umeona jirani kafanya na Hilo ni tatizo. Muhimu kumshauri mtu plan zote ajipange kulingana na mfuko wake
Back
Top Bottom