Msaada jamani, HIVi pikipiki Kwa matumizi ya kawaida mtu anatakiwa afanyie service vitu gani na Kwa mda gani?
Pia boxer 150 mazuri yake na mabaya yake ni yapi
Kuna madhara ya kubana mafuta kwenye pikipiki
Unawezaje kutambua kifaa ulichofungiwa kama ni og kwenye pikipiki Hasa hizi za...
Pia tambua wengi wanaweka battery nyingi kuongeza mda wa kufanya Kaz na yote ni mahesabu hufany kitu sababu umeona jirani kafanya na Hilo ni tatizo. Muhimu kumshauri mtu plan zote ajipange kulingana na mfuko wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.