Samahan, Kujiweka kivipiNenda chuo kama unajiweka
Kwani kasema lengo lake ni kupata degree??Kwenda fv utasoma miaka 2+3 jumla 5 unapata digree.
Chuo utasoma 3+3 jumla 6 unapata digree.
Sorry na maanisha kujiweza kifedha. Na kiakili nafikiri hapo kidogo umenipataSamahan, Kujiweka kivipi
Kwenda fv utasoma miaka 2+3 jumla 5 unapata digree.
Chuo utasoma 3+3 jumla 6 unapata digree.
Hii imekaa sawa.Kwani kasema lengo lake ni kupata degree??
Dogo aende chuo, apige certificate aende diploma then degree akitaka.
kwa nchi yetu hii unakua na uwanja mpana sana, kazi ikihitaji cert unaomba, ikihitaji dip unaomba, ikihitaji degree unaomba pia.
Nna washkaji wengi ambao wamepata kazi kwa dip au cert then wakiwa job wanaupdate cv zao.