Pamoja nakuwa Mimi huwa simchangiaji sana lakini kwenye hili naamka na kusema... Mnyika is one of the best Mbunge bungeni, mimi kama mkaazi wa Ubungo sijutii hata kidogo kumchagua yeye
My Web... Suka ipi unayoizungumzia ,.... Mimi na kaa Suka nyuma ya kanisa la Roma kabla ya kufika kwenye ukumbi wa Mbiro na tunauhakika wa maji siku tatu kwa week ... yaani Jmosi, jnne na Alhamisi wakati enzi zile maji ilikuwa mpaka msubirie mvua au mnunue kwenye malori ya X Diwani
My Web kuwa...
- Hizi ni kesi za kawaida sana, tumezisikia sana wala hazina ishu ni mambo ya Business sio ya Siasa mischanganye ishus people! Halafu si na huko kwenu Chadema kuna wanaodaiwa na NSSF
le mutuz
Yaani kumbe wanaposema Wewe Le Mutuz unakichwa lakizi hakifikirii ni kweli, Sasa Chadema...
Brother Willie nadhani unakosea, hapa unaweza kuleta hizo story na tukachangia kama kijiwe tuu but Kama walifanya hivyo ni rahisi sana kuwatia adabu tena umesema wapinzani kama vile CCM hawakuchukua!!!!!!! Tutajie hao wapinzani na peleka ushahidi TAKUKURU mambo yakae hadharani na tuwamwage
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.