LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
nimefikilia sana na nimejiuliza why kila siku ni CHADEMA , CHADEMA....... mgomo wa madaktari CHADEMA , mgomo wa walimu CHADEMA ,ulimboka CHADEMA , kifo cha muuza magazeti CHADEMA , kifo cha mwandishi wa habari CHADEMA .kukataa kutii amri halali za nchi (POLISI) CHADEMA.
hivi huwezi kudai hiyo madai au haki yeyote bila kuwa na vurugu? huwezi kufungua tawi bila vurugu au maandamano isitoshe umeambiwa usubiri ili kupisha sensa hutaki.... sasa mnataka nini..... au kama ndio chama cha upinzani kwani kipo CHADEMA peke yake ????? au ndio kama alivyoahidi baada ya kushindwa kuupata uraisi huyo dokta SLAA kuwa nchi hii haitatawalika . (na mwisho najiuliza hivi je MWANDISHI wa HABARI tena wa PART TIME ...... anayo ruhusa ya kupinga amri halali ya jeshi la POLISI)[/QUOTE]
Nina hofu nawe!
hivi huwezi kudai hiyo madai au haki yeyote bila kuwa na vurugu? huwezi kufungua tawi bila vurugu au maandamano isitoshe umeambiwa usubiri ili kupisha sensa hutaki.... sasa mnataka nini..... au kama ndio chama cha upinzani kwani kipo CHADEMA peke yake ????? au ndio kama alivyoahidi baada ya kushindwa kuupata uraisi huyo dokta SLAA kuwa nchi hii haitatawalika . (na mwisho najiuliza hivi je MWANDISHI wa HABARI tena wa PART TIME ...... anayo ruhusa ya kupinga amri halali ya jeshi la POLISI)[/QUOTE]
Nina hofu nawe!