Hapa kazi tu#halafu huna kazi unakula mlo mmoja kwa siku, unapewa buku ten unalewa unateseka miaka mitano then unakuja kulalamika maisha magumu #***** walai
Mbona akina cassper nyovest, mrcashtime na aka wametoboa tu kwa hip hop na rapper phyno pia cha msingi hapa tufanye midification ya hip hop yenye vionjo vya kiafrica tusikate tamaa
Pole sana bro kwa kuugua meningitis/uti wa mgongo as your name prescribes and sound dalili ya watu wenye meningitis ni kuchanganyikiwa /confusion nadhan ukipona huo ugonjwa utapost uzi wenye mantik
Naturally wanawake wanaendeshwa na hisia/mihemko compared to men ambao hufanya maamuzi kwa kutumia akili.. So wanafuata mikumbo tu hawajielewi nn wanafanya
Just knock him down continue with ur business life is too short,u gonna die young coz of stress! Eat, relax, enjoy things gonna be right on the way. Come on
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.