mkhai sinda
Member
- Jun 3, 2015
- 37
- 13
Just knock him down continue with ur business life is too short,u gonna die young coz of stress! Eat, relax, enjoy things gonna be right on the way. Come on
Umejaribu kuongea nae, sio kudraw conclusion. Second kwa mahusiano ambayo hata 6 months hayajafika alafu tena ni long distance ni kazi sana kustawi. Unaweza jilaumu labda hauko lucky with rlships but kumbe ni mazingira. U need to know one another very well, spend time pamoja. Kama ni watu wa movie atleast mnaenda once per month au disco etc. Ukiona mwanaume anakupeleka movies, au weekends anakutoa out beach au anygood place without f@*cking you, he is into you. Kama ni yule mkitoka tu lazima hilo liwepo everytime, jua huyo si wa serious rlship
Teh teh..we endelea kulinda nguzo,umeme unawaka kwa jirani
Kimbia haraka hakuna mapenzi hapo...Habarini!
Naomba mnisaidie kwa hili jambo,
nina boyfriend namheshimu nakumpenda sana nae ananipenda sana.
Tatizo linaloniumiza kichwa huyu mwenzangu kama wiki mbili / tatu ivi amechange sana,,
hapigi simu, wala hatext msg ni mpaka nianze mimi si ivo tu hata mambo mengine tunaweza kujadili yakaishia hapohapo na hata nikitaka jinsi ya kuanza kumshauri namna ya kuweka maandalizi ya familia na mengneyo nakosa the way to start talking acording to his silent. Na endapo nikikausha kama wiki ivi nae anakuwa kimya kupitiliza,, usiku ataiona msg yangu kama ni usiku sana ataizima simu yake mpaka kesho yake saa sita / tano asbh napo hajibu mpaka nimtext papo hapo,
nikimuuliza kwa nini mambo yanachange sana anadai yupo busy na akiwa free ndo anajipumzisha yaan anakuwa amechoka sana,,,
nikiomba tuonane yaani hapo ndo haitabiriki/ uwezekano mdogo sana wa kuonana it means hatuwezi onana,,
ifahamike tupo mikoa tofauti kumiss kupo kwingi sana even face to face,,, sasa sijielewi jamani nianze kushuka taratibu nijitoe au tu nifanyaje maana naogopa kukuza mapenzi yakomae alafu nkaachwe hapo baadae.
Mbaya zaidi nimetoka kwa watu wawili wa nyuma nao waliniumiza sana adi sasa hivi nakuwa mguu mmoja nje mwingine ndani kwa kuogopa kujeruhiwa nisaidien kwani nimefikia maamuzi magumu ya kuishi single life mpaka pale parapanda itapolia, ushauri wako utaniweka pazuri.
Asanteni,,,!!..
Habarini!
Naomba mnisaidie kwa hili jambo,
nina boyfriend namheshimu nakumpenda sana nae ananipenda sana.
Tatizo linaloniumiza kichwa huyu mwenzangu kama wiki mbili / tatu ivi amechange sana,,
hapigi simu, wala hatext msg ni mpaka nianze mimi si ivo tu hata mambo mengine tunaweza kujadili yakaishia hapohapo na hata nikitaka jinsi ya kuanza kumshauri namna ya kuweka maandalizi ya familia na mengneyo nakosa the way to start talking acording to his silent. Na endapo nikikausha kama wiki ivi nae anakuwa kimya kupitiliza,, usiku ataiona msg yangu kama ni usiku sana ataizima simu yake mpaka kesho yake saa sita / tano asbh napo hajibu mpaka nimtext papo hapo,
nikimuuliza kwa nini mambo yanachange sana anadai yupo busy na akiwa free ndo anajipumzisha yaan anakuwa amechoka sana,,,
nikiomba tuonane yaani hapo ndo haitabiriki/ uwezekano mdogo sana wa kuonana it means hatuwezi onana,,
ifahamike tupo mikoa tofauti kumiss kupo kwingi sana even face to face,,, sasa sijielewi jamani nianze kushuka taratibu nijitoe au tu nifanyaje maana naogopa kukuza mapenzi yakomae alafu nkaachwe hapo baadae.
Mbaya zaidi nimetoka kwa watu wawili wa nyuma nao waliniumiza sana adi sasa hivi nakuwa mguu mmoja nje mwingine ndani kwa kuogopa kujeruhiwa nisaidien kwani nimefikia maamuzi magumu ya kuishi single life mpaka pale parapanda itapolia, ushauri wako utaniweka pazuri.
Asanteni,,,!!..
Habarini!
Naomba mnisaidie kwa hili jambo,
nina boyfriend namheshimu nakumpenda sana nae ananipenda sana.
Tatizo linaloniumiza kichwa huyu mwenzangu kama wiki mbili / tatu ivi amechange sana,,
hapigi simu, wala hatext msg ni mpaka nianze mimi si ivo tu hata mambo mengine tunaweza kujadili yakaishia hapohapo na hata nikitaka jinsi ya kuanza kumshauri namna ya kuweka maandalizi ya familia na mengneyo nakosa the way to start talking acording to his silent. Na endapo nikikausha kama wiki ivi nae anakuwa kimya kupitiliza,, usiku ataiona msg yangu kama ni usiku sana ataizima simu yake mpaka kesho yake saa sita / tano asbh napo hajibu mpaka nimtext papo hapo,
nikimuuliza kwa nini mambo yanachange sana anadai yupo busy na akiwa free ndo anajipumzisha yaan anakuwa amechoka sana,,,
nikiomba tuonane yaani hapo ndo haitabiriki/ uwezekano mdogo sana wa kuonana it means hatuwezi onana,,
ifahamike tupo mikoa tofauti kumiss kupo kwingi sana even face to face,,, sasa sijielewi jamani nianze kushuka taratibu nijitoe au tu nifanyaje maana naogopa kukuza mapenzi yakomae alafu nkaachwe hapo baadae.
Mbaya zaidi nimetoka kwa watu wawili wa nyuma nao waliniumiza sana adi sasa hivi nakuwa mguu mmoja nje mwingine ndani kwa kuogopa kujeruhiwa nisaidien kwani nimefikia maamuzi magumu ya kuishi single life mpaka pale parapanda itapolia, ushauri wako utaniweka pazuri.
Asanteni,,,!!..
Pole kwa Unayopitia.. I know hw t feels lyk.. I've been there Before kweli ts Hurt sana hasa kwa Mtu unaempenda kukufanyia hivyo kukuignore. Changamoto kwa Uchache 1)kuchokana/kuzoeana 2)Umbali/Distance 3)Ubize 4) kapata Mwingine. Nk.
Ushari: first..Relax n Stay Calm, kwenye Mapenzi Kuna hali ya kuzoeana kupita kiasi hii inapelekea kuchokana.. Hii ni Hali
Ya kawaida sana Kutokea katika Mapenzi. Na hii inatokana na Wapenzi kukaa Muda Mrefu kwenye Mahusiano cjajua (mmekaa Muda gani) pia ukosefu wa Ubunifu inapelekea hali hii. Jaribu kukaachini kujitafakari toka Mlipotoka utapata jibu sahihi.. Kama ni kuzoeana mjaribu kupeana Space(Muda) kidogo, Pia Jaribu kuwa m'bunifu kuboresha Mahusiano yenu( change the way mmezoea kuchat/kuasiliana ect) 2) umbali Long Distance inaua Mahusiano Sometimes. Mjaribu kutembeleana Mara kwa Mara kama yeye haji kwako nenda kwake.. Jus (cheza part yako effectively) ili likitokea lolote Usije ukajilaumu au kulaumiwa kwa kutowajibika kwa r'ship yako ipasavyo. Atalaumiwa na kujilaumu yeye kwa kushindwa kuwajibika. 3) Ubize maybe ts true MPE Muda na tafuta Muda Ukaenae Umuweke wazi kabadilika coz if U truly Love Someone no matter hw busy U r, U 'll alwayz find a tym kwa Mpenzi Wako. So Mwambie Usimfiche na Umpe muda Atachange. 4) kapata Mwngine.. Hii siipendi sana coz in a R'ship hutakiwi kuwa na Negative thoughts Mara nyingi zinaua Mahusiano jaribu kumchunguza kidogo ili kuhakikisha kama unamawazo hayo. Pia jaribu kufanya hvyo kama unaweza kama huwezi kumchunguza.. Tulia Ondoa negative thoughts kabisa n stay focused. Muombe Mungu Aponye Mahusiano yako. Sorry nmeandika kwakirefu kwa faida ya wasomaji wengine ndio maana cjaja PM.. Hapo ni kwa kifupi tu.
Hapo kwenye red umejuaje asee....hivi mtu anayekupenda SANA anaweza ku-behave namna hiyo kweli???Habarini!
Naomba mnisaidie kwa hili jambo,
nina boyfriend namheshimu nakumpenda sana nae ananipenda sana.
Tatizo linaloniumiza kichwa huyu mwenzangu kama wiki mbili / tatu ivi amechange sana,,
hapigi simu, wala hatext msg ni mpaka nianze mimi si ivo tu hata mambo mengine tunaweza kujadili yakaishia hapohapo na hata nikitaka jinsi ya kuanza kumshauri namna ya kuweka maandalizi ya familia na mengneyo nakosa the way to start talking acording to his silent. Na endapo nikikausha kama wiki ivi nae anakuwa kimya kupitiliza,, usiku ataiona msg yangu kama ni usiku sana ataizima simu yake mpaka kesho yake saa sita / tano asbh napo hajibu mpaka nimtext papo hapo,
nikimuuliza kwa nini mambo yanachange sana anadai yupo busy na akiwa free ndo anajipumzisha yaan anakuwa amechoka sana,,,
nikiomba tuonane yaani hapo ndo haitabiriki/ uwezekano mdogo sana wa kuonana it means hatuwezi onana,,
ifahamike tupo mikoa tofauti kumiss kupo kwingi sana even face to face,,, sasa sijielewi jamani nianze kushuka taratibu nijitoe au tu nifanyaje maana naogopa kukuza mapenzi yakomae alafu nkaachwe hapo baadae.
Mbaya zaidi nimetoka kwa watu wawili wa nyuma nao waliniumiza sana adi sasa hivi nakuwa mguu mmoja nje mwingine ndani kwa kuogopa kujeruhiwa nisaidien kwani nimefikia maamuzi magumu ya kuishi single life mpaka pale parapanda itapolia, ushauri wako utaniweka pazuri.
Asanteni,,,!!..