Sheria za msingi za adabu:
1. Ongea na watu kwa adabu, haswa ikiwa unaomba usaidizi.
2. Jitahidi sana usikatize watu wanapozungumza.
3. Kumbuka kusema asante ikiwa mtu amekuwa msaada kwako.
4. Ikiwa unahitaji kupita, sema samahani - nahitaji njia ,nafasi nyembamba!Usiseme Pisha nipite...
1. Kuingia kwenye uraibu
Madawa ya kulevya,ulevi,ngono,bangi na uvutaji wa sigara ni moja ya mashimo hatari yanayonasa vijana.Uraibu ni njia tu ya kufanya maisha kuwa magumu zaidi. Yatachukua muda wako,afya na umakini wako wote kutoka kwa mambo ambayo ni muhimu sana.
2. Kuiga tabia mbaya...
Na nyie wanawake mtulie msitutie majaribuni.Unakuta mke wa mtu anakupenda kuliko mmewe... kilichobaki ni nini apo??
Mtulie kwenye ndoa.
Mwanaume weka heshima kwa mke wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.