Kama uliangalia vizuri Linc hakumuua Katlego,walikuwa wanagombana, Kat akanguka na kufikia kisogo na kufariki,kosa alilolifanya Linc ni kuficha taarifa za kifo na kwenda mtupa huko mgodini
Pole sana mtoa mada kwa kuishi na mwanamke mchafu wa aina hiyo na hongera kwa uvumilivu uliotukuka!Kama ulivyoweza kuwasilisha hili hapa basi tafuta wanawake waliomzidi umri ambao unawaheshimu wanaweza kuwa ndugu au watu wa dini katika imani yenu na uwaeleze wamfunde mkeo kwa tabia ya...
Pole sana kwa kutokupendwa na mama.Nadhani huyo mama ana sababu ya kufanya hivyo na anajua yeye yawezekana huyo hakuwa baba yako,inawezekana kabnisa mimba yako ilimpa wakati mgumu ni siri ktk maisha yake hivyo hawezi kukuambia amebaki na chuki.Samehe tu vile Mungu amekusaidia una maisha mazuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.