Hi guys, natafuta hii seal ya Mazda CX-7 inakaa kwenye oil cooler naomba kama kuna mtu anafahamu zinapopatikana anielekeze tafadhari gari yangu inavuja oil sana.
Asanteni.
huo ni ufinyu wa mawazo ,kiongozi wa dini anahaki ya kikatiba kama raia wengine kutoa mawazo yake binafsi ,what bishop did has nothing to do with catholic faith ,ule ni msimamo wake na mawazo yake kama ww ulivyotoa maoni yako.fuatilia vizuri speech zake utakuwa na uhakika wa alichokiongea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.