Maonyesho ya viwanda ni kichekesho

Maonyesho ya viwanda ni kichekesho

Tumuunge mkono rais kwa juhudi zake! Tukijiuzulu udiwani na ubunge itapendeza zaidi.

Magufuli sijui huwa anatuchukuliaje wananchi.
 
Ukiwasikia watawala wanavotamka utazan kwer tz imepaa kiuchumi.
 
E bwana,na leo utaenda tena? nataka ukaniulizie bei za incubator machine za kuafford mayai 1000>-<1200
 
Njia pekee ni kuunganisha taifa...na serekali kujitahidi kujenga trust kwa private sector..its not that mechanical
 
Na bora ukweli umewekwa wazi kwamba kizazi kipya Tanzania ni kizazi tegemezi- import generation.Kizazi viwanda kilizikwa baada ya Mwl.Nyerere kungatuka.
Itatuchukua nusu karne kuwezesha wazawa kushiriki kikamilivu katika Tanzania ya viwanda kama watakuwa wamewezesha vilivyo.
 
Mkuu kweli uliambiwa TBC ni kiwanda? Nadhani wapo pale kutuhabarisha na wanatakiwa kuwepo kila sehemu hata bungeni ingawa wao siyo wabunge.
 
Hahaaaa hahahahahaah! Yale yalipaswa kuwa maonesho ya wachuuzi wa bidhaa!
 
Viwanda kwa umeme upi? kwa malighafi zipi? kilimo kilitakiwa kiwe kipaumbele then viwanda. unataka kutembelea wakati hata kusimama bado!
 
Viwanda kwa umeme upi? kwa malighafi zipi? kilimo kilitakiwa kiwe kipaumbele then viwanda. unataka kutembelea wakati hata kusimama bado!
Nchi kama nchi bado haina SERA MAALUM YA KIUCHUMI kila mtu anakuja na lake tunataka kuwa nchi ya viwanda ndio viwanda vya aina gani ?
 
Ktka kusomasoma sababu zilizopelekea industrial revolution in Britain miongon mwa sababu hiz, ilikua n kubuild up industrial culture in all aspects of life among people in Britain, yaan selikar iljeng utamadun wa viwanda katk nyanja zote za kmaisha, iwe siasa (, ELIMU(mitaala na mifumo izingatie vwanda), uchumi na biashara(soko la ndan na nje cjawaiona wakijarb kuldadavua hil ) nk. kila nyanja iltengenezew mazngra yakufanya viwanda viwe kipaumbele.
 
Ipo shida kubwa mipango (Tuna mipango mingi mizuri)na matumizi(Mmoja ama wachache wanaamua vipaumbele), ndio maana hadhi wabunge,madiwani inashuka kila kukicha.
 
Tanzania ya mamagufuri imeshajenga zaidi ya viwanda zaidi ya 3000

Halafu vyote viko mkoa wa pwani lakini hatujawahi kuona hata picha ya viwanda vitano!! Hivi kweli watu waweze kujenga viwanda wasiwe hata na simu zenye camera wapige picha nini kinaendelea?
 
Sisi tuliokula chumvi nyingi tunakumbuka swali la Geography lililokuwa likiuliza::
Miji ya Calcutta, Chicago na Dsm ni maarufu DUNIANI kwa ? Jibu = Viwanda vya bidhaa za Makopo
Tanzania ilikuwa ya pili duniani kwa bidhaa hizo. Ukitaka kulijua hili hebu jiulize;
1.Tz inajivunia maelfu ya bakery za mikate jiulize nani ameishatengeneza mkate kama SIHA ?
2. Nani ametengeza maziwa kama KCC
3. Nani ametengeza Beef kama ya Tanganyika Packers ?
Maharage ya kopo na juices kama Dabaga ?
Kwa hiyo hatuwezi kukurupuka tuu viwanda viwanda lazima tuangalie sehemu ambazo tuna comparative advantage
Kwa mfano Tz ni ya 2 au 3 Africa kwa kuwa na Ng'ombe wengi kwa hiyo kwa uzalishaji ngozi tutakuwa kwenye position hiyo hiyo
Hivi kinatushinda nini kupeleka vijana 10-15 ktk best international universities na tuwape mikakati na matarajio yetu ktk leather industry hawa watu kazi yao itakuwa wakilala wakiamka wao ni leather tuu na hivi ndivyo walivyofanya ndugu zetu wachina. Ilifikia wakti ktk 1990s USA top 10 best universities walijaa Wachina

Siasa ni sumu ktk mipango ya kiuchumi, nchi hii ina historia mbaya saana ya Siasa kutamalaki mipango ya kiuchumi kauli za majukwaa ya kisiasa tusitegemee yataleta maendeleo hata siku moja

Ushirikishwaji
Hili tumeliona liko vzuri, tumeona jpm mwenyewe kwa mfano akimkabidhi bakhressa ardhi na akimuomba azalishe sukari, lakini ilibidi aende mbali zaidi kuhusisha Serikali+Wafanyabiashara + wananchi.
Kwa mfano ktk suala la sukari President angeita 5 largest importers wa sukari akawaomba waunde mkakati ambao utaiwezesha tz kuwa largest exporter wa sukari east and central Africa in 5 years
 
Hakukuwa na akina kafulila, Katambi, marsha, Albert msando, machali nk. Maana hivyo ndio viwanda vya ccm
 
Back
Top Bottom