Recent content by mke mdogo

  1. M

    I am sorry mabinti wa kichagga

    Hahaha nimeipenda hiyo statement kuwa bora afe
  2. M

    Baada ya kujenga, kijiji kizima sasa kinafikia kwangu

    Hivi anaewaonyesha hapo kwako ni nanii. .? Na taaarifa kuwa umejenga na sasa umehamia nanii aliwaambia. .? Haya sifa zilimponza fis
  3. M

    Bei ya kioo cha Galaxy S4

    Mimi nina s4 imekufa charger system njooo nikuuuzie
  4. M

    Unaweza kumwacha mkeo kwa mume mwenzio?

    Hivi kwa upande wa shilingi inakuwaje. .? Yaaan mume aliezaaa nje je ni ruhusa mwanamke wake kuja kumuona mtoto au hawa hawana shida
  5. M

    Ujumbe wa Dr. Chris Mauki

    Ukuni kwa kweli lazima ukolee moto hivi hivi heshima hamna na hizo suprises zote itakuwa = work done is equally to zero
  6. M

    Ujumbe wa Dr. Chris Mauki

    Wanaume mmeumbwa mateso
  7. M

    ITV vs Isidingo ni kipi chungu lililoiva

    Niko addicted na hii isidingo the need ..nawahi kurudi home niiangalie naipenda sana kama wale wanaopenda soka. ! Ambaye haielewi an pm nimjuze how it reflects our daily life
  8. M

    Wanawake acheni kuvaa mawigi

    Wanaume waongo anakwambia sipendi wig unafwata kila kitu. ..akitoka nje unamkuta na mwanamke alievaa wigi, kimin, makeup, kope.,aliejichubua,mikucha mirefu yenye mirangi! Yaaan hawa wanaume hawa ni very weird
  9. M

    Hakuna urafiki wa mke na mwanaume nasitataka kuaminishwa na yeyote

    In my opinion najua urafik wa mwanaume huwa upo tena rily friends ila kama urafik huo ulianza kwa ushemeji. ..yaan let's say labda jamaa alikuwa mtu Wa rafiki yng sasa pale ndio huwa kuna kuwa na urafik coz kuna river between, mnakuwa mnaheshimiana badalaaa
  10. M

    Maneno matamu unayoweza kumwambia unayempenda kwa dhati

    Mjuvi ni mtu anaejua zaidi jambo na kulitenda
  11. M

    Maneno matamu unayoweza kumwambia unayempenda kwa dhati

    Nikinywa maji nakuona kwenye glass
Back
Top Bottom