Maadili gani yana kiukwa kwenye hiyo tamthilia?hata kama wew pimbi si bora watafute movie za kibongo zenye maadili aonyeshe kwa manufaa ya taifa unaifatilia wew tu na mashoga wenzako
Mimi sitaki hata kusikia neno isidingo. Anyway kuna wanaoipenda, waje watupe uzuri na umuhimu wa hii tamthilia. Napendekeza ITV watumie mda wa kuonesha hiyo tamthilia kupiga angalau taarabu tu, kipindi kitapata wapenzi na watazamaji wengi
Hakuna movie za kibongo zenye maadili na mama zipo zitajehata kama wew pimbi si bora watafute movie za kibongo zenye maadili aonyeshe kwa manufaa ya taifa unaifatilia wew tu na mashoga wenzako