KKKT wananishangaza, huyu kafia guest akiwa mtupu lakini kazikwa na Askofu. Wengine wanafariki wachamungu wananyimwa hata mchungaji!
Jamani KKKT fanyeni hivyo kwa watu wote sio baadhi ya watu tu, hukumu na msamaha ni kwa bwana sio wanadamu. RIP Mollel
Wanasema siku za mwizi ni arubaini. Hatimae Professional Cornman Marijani Msofe aka Papaa Msofe anganganiwa na vyombo vya sheria. Lakushangaza hapa ni kwamba tuliambiwa kesi yake imehairishwa kama mara tatu hivi kwasababu anaumwa na mwezi huu mwanzoni alikuwa afikishwe mahakamani lakini ghafla...
Jamani Magazeti yanapewa hela ili yapotoshe ukweli!! Magazeti yanamuandika Marijan Msofe kama mfanyabiashara maarufu na mengine PROMINENT businessman?!! Huku wakijua ukweli. Nimepata taarifa kuna kila jitihada zinafanyika kumsafisha hivyo ndio maana magazeti yanapewa hela kutoa hizi habari...
Leo nimeongea na jamaa mmoja ambaye yuko karibu sana na Marijani Msofe ambaye mjini ni maarufu kama papaa msofe na anasema jamaa alishauriwa na Polisi wapeleke hiyo issue mahakamani haraka ili wawafunge mdomo watu maana hiyo issue inahusiana na murder lakini haina ushahidi uliokaa vizuri...
Mimi nimerudi mwezi wa pili na nimesamehewa. Unaqualify for exemption of personal effect ikiwa na maana vitu ulivyokuwa unatumia na gari moja. Ila kwa gari unatakiwa uwe ulilinunua mwaka mmoja kabla hujarudi kwamaana ya kwamba ulikuwa unalitumia. Ukiwa unakidhi vigezo unajaza BD Form...
Hawa jamaa kwawatu wanaofanya biashara za China tunawajua sana. Ukienda huko wanakwambia watakuletea mzigo wako na wanakuchaji kwa ukubwa wa mzigo ghara ambayo ni ndogo kidogo ya watu wengine wanaosafirisha mizigo kutoka china. Tofauti yao na wengine ni kwamba wengine ukifika unaonyeshwa...
Issue hapa sio kufanya biashara. Hawa jamaa wanapitisha makontena kwa Tsh 1,500,000 contena la nguo. Huko china wanakwambia ukileta mzigo wanakuchaji kwa cbm na hawakupi risiti ya aina yoyote ukikamatwa na huo mzigo ni shauri yako.
Kuna Maneja mmoja wa pale longroom anaitwa kahise aliondolewa...
Nilikuta gari moja inavuta magari matatu kupeleka bandari kavu na ikapata ajali. Nilijiuliza alijiaminije kuvuta magari ma3 na maaskari huko njiani walikuwa wanawaruhusu vipi wapite? Je wenye magari hayo walipofikia kuyatoa waliambiwaje? Uchunguzi wangu wa haraka nilipouliza katika eneo la tukio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.