Kuna jamaa wale wanao jiita sharks.. Wako bize kuwafanya vijana wenzao kuwa fursa wanawalipisha pesa nying kumbe kila kitu kipo YouTube. Kuwa makini kijana.
Nenda youtube Andika BIGBANKS tazama iyo video apo utagundua naongea nini. Mimi nilivyo search imekuja video ya tatu. Skiliza kwa makini...
Wadau nimepatwa na tatizo hata sijui nifanyaje nimepoteza hamu ya tendo la ndoa ghafla toka juzi.
Akili yangu haiko sawa sijui nini kimenipata asubuh mimi kwa kawaida wakati naamka uume unakuwa umesimama lakini toka juzi yani uume hausimami kabisa, kuna muda nakuwa na hamu ya tendo. Lakini...
Wakuu habar zenu.. Nina bucha liko mbagala Naitaji mtu wa kuniletea samaki kwa bei ya jumla.. Samaki sato na sangara...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.