Recent content by mkata-mkaa

  1. mkata-mkaa

    Epuka kufanywa fursa na kina Sharks

    Tulia mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mkata-mkaa

    Epuka kufanywa fursa na kina Sharks

    Kuna jamaa wale wanao jiita sharks.. Wako bize kuwafanya vijana wenzao kuwa fursa wanawalipisha pesa nying kumbe kila kitu kipo YouTube. Kuwa makini kijana. Nenda youtube Andika BIGBANKS tazama iyo video apo utagundua naongea nini. Mimi nilivyo search imekuja video ya tatu. Skiliza kwa makini...
  3. mkata-mkaa

    Nguvu za kiume zimepotea ghafla

    Asante kiongozi.. Nimefanya ivyo niko kijijini tayal Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mkata-mkaa

    Nguvu za kiume zimepotea ghafla

    NIMEKUSOMA mkuu.. Thanks Sent using Jamii Forums mobile app
  5. mkata-mkaa

    Nguvu za kiume zimepotea ghafla

    Kivip mkuu? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mkata-mkaa

    Nguvu za kiume zimepotea ghafla

    Wadau nimepatwa na tatizo hata sijui nifanyaje nimepoteza hamu ya tendo la ndoa ghafla toka juzi. Akili yangu haiko sawa sijui nini kimenipata asubuh mimi kwa kawaida wakati naamka uume unakuwa umesimama lakini toka juzi yani uume hausimami kabisa, kuna muda nakuwa na hamu ya tendo. Lakini...
  7. mkata-mkaa

    Mvua za Dar

    Ngoja tusubil mkuu
  8. mkata-mkaa

    Mvua za Dar

    Wakuu habar zenu...naomba kujuzwa hizi mvua zinakata lini... Watalam wa hali ya hewa naombeni data
  9. mkata-mkaa

    Naomba kujuzwa kuhusu ajira Tanzania

    Wakuu habar zenu naomba kujuzwa... Ni asilimia ngap ya vijana nchini Tanzania hawana ajira? Je wapi naweza kwenda kupata izo data?
  10. mkata-mkaa

    Naitaji samaki sato na sangara

    Wakuu habar zenu.. Nina bucha liko mbagala Naitaji mtu wa kuniletea samaki kwa bei ya jumla.. Samaki sato na sangara... Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mkata-mkaa

    SSA greenlight team lead-UBER

    na wakat muna apply muwe mnasema.. sio gemu taiti ndo mnatuuliza maswal
  12. mkata-mkaa

    Hivi kuna mwanamke ambaye si msaliti?

    mkuu kwan ww ke... mbona ulileta uzi ww ni me?
  13. mkata-mkaa

    Baada ya uhusiano wetu kufa tulikubaliana tubaki kuwa marafiki lakini sasa hivi simuelewi

    mkuu sina wivu... swali ishu ni kwamba una mtreat mtu vizur alafu yeye ana act kama its nothing ndo naposhangaa
Back
Top Bottom